BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,041
Habari ndugu.
Mara ya mwisho naingia filling station bei ya wese ilikua 2,405 karibu sheli zote. Leo nimeingia kujaza wese nakuta bei inasoma 2427 kuna ongezeko la Tshs 22. Nakumbuka jamaa pale sheli alinambia na bado bei itaendelea panda.
Tunakoelekea sahivi uchumi utadidimia na sio kukua. Sahv kila kitu kimepanda bei sio mafuta tu mpaka spare za magari, tyres nk.
Mungu ibariki TANZANIA
Mara ya mwisho naingia filling station bei ya wese ilikua 2,405 karibu sheli zote. Leo nimeingia kujaza wese nakuta bei inasoma 2427 kuna ongezeko la Tshs 22. Nakumbuka jamaa pale sheli alinambia na bado bei itaendelea panda.
Tunakoelekea sahivi uchumi utadidimia na sio kukua. Sahv kila kitu kimepanda bei sio mafuta tu mpaka spare za magari, tyres nk.
Mungu ibariki TANZANIA