Nyama nyekundu ina maradhi,ale mboga za majani,samaki,dagaa nkWakati najiunga na JF about 10 years ago, kulikuwa hakuna nyuzi za namna hii!
Mtu mzima unaanzisha Uzi kuhusu nyama!
Mboga za majani,samaki,kuku wa kienyeji,maharage ni chakula bora,kuliko nyama nyekundu.Acheni kula nyama jamani mbona mkila mboga mboga, jamii ya maharage na matunda inatosha.
Nyama ni anasa. Ipande tu bei iuzwe kilo hata 50,000/-.
Pamoja sana mkuu.N'gombe
Vp kisusio je wanauzaje? Miguu? Na masikio wanapima? Pua?Ya nguruwe buku tano huku oldmoshi na ukitaka anakuchomea hapo hapo buchani
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Si kweli kuwa nyama nyekundu ina maradhi. Uweupe au wekundu wa nyama hutegemea na uwepo wa myoglobin. Myoglobin ikiwa nyingi kwenye seli za misuli basi nyama huwa nyekundu ikiwa chache nyama hua nyeupe.Nyama nyekundu ina maradhi,ale mboga za majani,samaki,dagaa nk
Unawaza kula tu. Anzisha kiwanda cha Plastic surgery uongeze hipsKumekua na mfumuko wa bei wa vitu,ila Leo tujuzane kuhusu nyama,hapa Tabora vijijini kilo tsh 6000.Tabora mjini kg moja tsh 7000.Huko kwenu VIP?
Fuga ng'ombe,mbuzi,kondoo nk.Utakula nyama nyekundu,kwa bei rahisi.Si kweli kuwa nyama nyekundu ina maradhi. Uweupe au wekundu wa nyama hutegemea na uwepo wa myoglobin. Myoglobin ikiwa nyingi kwenye seli za misuli basi nyama huwa nyekundu ikiwa chache nyama hua nyeupe.
Myoglobin husaidia oxygen iingizwe kwa wingi kwenye misuli ili kuichakata kupata nishati. Hivyo wekundu au weupe wa nyama za misuli ya mnyama hutegemea nature ya shughuli zake jijsi alivyoumbwa...
Kama anatumiabnishati nyingi kwenye movements za misuli basi nyama huwa nyekundu..kwa maana ya myoglobin kuwa nyingi ii isaidie nishati izalishwe kwa wingi kumruhusu mnyama husika aweze kufanya movements zake. Kuku au samaki weingi wana nyama nyeupe ikiwa na maana ya kuwa na myoglobin chache...hawahitaji nishati kibao kufanya movements as their muscles contract and relax.
Ngoja wauza mishikaki wakujie 😁Acheni kula nyama jamani mbona mkila mboga mboga, jamii ya maharage na matunda inatosha.
Nyama ni anasa. Ipande tu bei iuzwe kilo hata 50,000/-.
Halafu nawe mtu mzima umechangia uzi huu kuhusu nyama.Wakati najiunga na JF about 10 years ago, kulikuwa hakuna nyuzi za namna hii!
Mtu mzima unaanzisha Uzi kuhusu nyama!
Kumekua na mfumuko wa bei wa vitu,ila Leo tujuzane kuhusu nyama,hapa Tabora vijijini kilo tsh 6000.Tabora mjini kg moja tsh 7000.Huko kwenu VIP?
Itakuwa ya mbwa hiyo3500