Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,062
- 3,620
Ikitokea harusi ya ndugu then nikapata zali la kuja dar ntawaomba mnipeleke huko mnakokuita u-coco wa beach, na milimani center sijui shopping nini nako pia, na kwenye hilo taifa la mpira pia na wapi wapi? Nkikumbuka ntasemaa