frakitosho
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 802
- 256
Sio Coco tu mahali pengi Dar wahudumu wezi sana na nadhani wanaambiwa kufanya hivyo na mabosi wao. Rose Garden ndio balaa.
Ni kweli rose garden jana wamenipiga buku baada ya kuagiza makange
Sio Coco tu mahali pengi Dar wahudumu wezi sana na nadhani wanaambiwa kufanya hivyo na mabosi wao. Rose Garden ndio balaa.
Umenikumbusha kisa kimoja kilitokea mwaka 2002 Arusha. Jamaa zangu fulani toka Dar walikwenda Arusha kikazi. Ilipofika jioni wakaenda sehemu na kuagiza mishikaki wakaambiwa hapa hatuuzi mishikaki ila unasema unataka nyama sehemu ipi au ya shilingi ngapi. Basi kwa wakati huo wakaagiza nyama ya shilingi 2000/=. Baada ya muda walipoletewa (walikuwa watatu) wakamwambia yule mhudumu kuwa atakuwa amekosea maana wao wameagiza nyama ya 2000/= tu!! Akawaambia ndiyo hii, jamaa waliangaliana hawakuamini macho yao, maana nyama ilikuwa ni nyingi balaa!!! Wakaambiwa nyie mmezoea njaa Dar hii AR bana!!!Watu wa Dar njaa kweli sisi wa Kaskazini hatulagi mambo ya mishikaki, unakuta ng'ombe katundikwa unawambia wakukatie upande gani unataka kwa kilo au mbuzi mzima katundikwa unaagiza mguu, kidali, mkono au mbavu ikiletwa unakula tumbo juu na kuteremshia maji ya dhahabu. Kama ni kuku ni wale wa kienyeji chapa Singinda na Manayara. Mshikaki utasikia nini
Ile mishkaki ya paka si ni 300 tu? Imefika lini buku?
Sio Coco tu mahali pengi Dar wahudumu wezi sana na nadhani wanaambiwa kufanya hivyo na mabosi wao. Rose Garden ndio balaa.
Umenikumbusha kisa kimoja kilitokea mwaka 2002 Arusha. Jamaa zangu fulani toka Dar walikwenda Arusha kikazi. Ilipofika jioni wakaenda sehemu na kuagiza mishikaki wakaambiwa hapa hatuuzi mishikaki ila unasema unataka nyama sehemu ipi au ya shilingi ngapi. Basi kwa wakati huo wakaagiza nyama ya shilingi 2000/=. Baada ya muda walipoletewa (walikuwa watatu) wakamwambia yule mhudumu kuwa atakuwa amekosea maana wao wameagiza nyama ya 2000/= tu!! Akawaambia ndiyo hii, jamaa waliangaliana hawakuamini macho yao, maana nyama ilikuwa ni nyingi balaa!!! Wakaambiwa nyie mmezoea njaa Dar hii AR bana!!!
Hahahahaha lol!!!! Wewe mchokozi sana.
Ahaaaaa!! TClever ukisikia tu hamu ya chakula ujue hiyo ni njaa. hakuna hamu ya chakula bali ni njaa. Kwa hiyo sidhani ukiwa na hamu ya mshikaki ukipewa mguu wa mbuzi au kilo ya nyama choma ng'ombe utasaza kitu. Kukosekana vitu kunazaa lugha eti hamu kumbe njaa tu
coco beach ndio wapi?
kuna sehemu masaki kuna mishikaki mitamu sana, ya hapo coco chenga tu.
Umenikumbusha kisa kimoja kilitokea mwaka 2002 Arusha. Jamaa zangu fulani toka Dar walikwenda Arusha kikazi. Ilipofika jioni wakaenda sehemu na kuagiza mishikaki wakaambiwa hapa hatuuzi mishikaki ila unasema unataka nyama sehemu ipi au ya shilingi ngapi. Basi kwa wakati huo wakaagiza nyama ya shilingi 2000/=. Baada ya muda walipoletewa (walikuwa watatu) wakamwambia yule mhudumu kuwa atakuwa amekosea maana wao wameagiza nyama ya 2000/= tu!! Akawaambia ndiyo hii, jamaa waliangaliana hawakuamini macho yao, maana nyama ilikuwa ni nyingi balaa!!! Wakaambiwa nyie mmezoea njaa Dar hii AR bana!!!
Aisee me nimelipia 2000 tangu mwaka jana