Dah Yani elfu tatu unaona nyiiiingiiiii wakati Mimi hapa nilipo basmati na jasmine nanunua karibu elfu kumi na Moja kwa kilo?Wadau leo mchele umefika 3,000 kwa kilo, tunaelekea wapi?
SI Kuna magimbi na mihogo?
Dah Yani elfu tatu unaona nyiiiingiiiii wakati Mimi hapa nilipo basmati na jasmine nanunua karibu elfu kumi na Moja kwa kilo?Wadau leo mchele umefika 3,000 kwa kilo, tunaelekea wapi?
Ndo mchele Gani huo mkuu Malala?Tuinaiomba serikali irejeshe mchele wa Mdundiko
Hao wanaokimbia vitoto vya mwaka 2000 wataweza kuingia barabarani kweli?Tuingie barabaran
Tumsome waziri kwanzaWadau leo mchele umefika 3,000 kwa kilo, tunaelekea wapi?
Mkuu tukalime tuwe mfano sisiHayo ni madhara ya kutumia hela kwenye miradi ya kijinga na V8. Kuliko kuwekeza kwenye umwagiliaji. Kilimo cha kutegemea mvua ni zaidi ya kubeti. Suluhisho ni Serikali iwekeze kwenye umwagiliaji.
Zaidi ya hapo bei zitapaa mpaka mchele kilo itakuwa 10,000, na itapaa zaidi mpaka kilo moja ya chakula itafika laki. Na itaendelea kupaa mpaka kufika mbinguni.
Kwa sasa tuombe Mungu alete mvua.
dah, qyumamao zaoView attachment 2358908
Wala keki ya taifa wanakuambia ongezeko dogo
Sukuma gang vs chawa wewe uko wapiSukuma gang mtakoma mwamka huu! Mnazidi kukomeshwa![]()




Na ulivyo haukolei mafuta sasa hahahah. Na mafuta yenyewe yalivyo beiisee naona dalili ya kuanza kula kitumbo
Huku kwetu unga ni 1900 kg..nimenunua unga wa kula 1700 hapa nikashika kichwa ...