Hahaha Ujerumani huo mchele ni 5k-6k.Dah Yani elfu tatu unaona nyiiiingiiiii wakati Mimi hapa nilipo basmati na jasmine nanunua karibu elfu kumi na Moja kwa kilo?
SI Kuna magimbi na mihogo?
Ujerumani bei ya vitu ni chini ukilinganisha na Norway, Iceland, Denmark na uswizHahaha Ujerumani huo mchele ni 5k-6k.
Sasa jasmine si mchele super kyela
Qenge maji we!Dah Yani elfu tatu unaona nyiiiingiiiii wakati Mimi hapa nilipo basmati na jasmine nanunua karibu elfu kumi na Moja kwa kilo?
SI Kuna magimbi na mihogo?
Kuna ule wa vitumbua nao 2,200isee naona dalili ya kuanza kula kitumbo