Bei ya mahindi kwa sasa sokoni

Bei ya mahindi kwa sasa sokoni

Mkuu bei mjini ni per kg..shuhuli za debe cku izi ni chache labda vijijini..na mtama ilikuwa 650 japo kwasasa unazidi poromoka mpaka 400-500
Sintasahau nilivyo nunua mtama kilo 5000 January na sijarudisha hata mbegu
 
Nn kilikusibu mkuu embu weka wazi, coz nataka niingie kwenye hicho kilimo mwaka huu..
Sikupata mvua zaidi ya unyevu wa shamba mbegu hazikuota vizuri.
Pia inahitaji uangalizi mkubwa wa ndege wanakula sana
 
Sikupata mvua zaidi ya unyevu wa shamba mbegu hazikuota vizuri.
Pia inahitaji uangalizi mkubwa wa ndege wanakula sana
Pole sana kaka,
Mm nataka nilime vuli zikianza huku pwani ya mkuranga..
Ila niko mbali na shamba, ndio bado nafanya utafiti jinsi ya kukabiliana na ndege..
 
Pole sana kaka,
Mm nataka nilime vuli zikianza huku pwani ya mkuranga..
Ila niko mbali na shamba, ndio bado nafanya utafiti jinsi ya kukabiliana na ndege..
utawekwa mlinzi
 
Pole sana kaka,
Mm nataka nilime vuli zikianza huku pwani ya mkuranga..
Ila niko mbali na shamba, ndio bado nafanya utafiti jinsi ya kukabiliana na ndege..
Mkuu kuna mbegu nimeambiwa hailiwi na ndegu..embu na ww jaribu kuifwatilia
 
Back
Top Bottom