Bei ya mahindi kwa sasa sokoni

Bei ya mahindi kwa sasa sokoni

Mshangao bei juu kuliko kawaida mkuu
Pengine iko juu kuliko mikoa mingine aisee
Mkuu hiyo bei nimetoka juulizis mwenyewe soko kuu la dodoma mjini jana nikapatwa na mshangao nikaona niuze mzigo fasta nikanunue mwingine ndo niuweke stoo
 
Inashangaza, kama Kiteto ambayo ipo karibu na Dodoma, bei ni 45 elfu, iweje Dodoma iwe laki na 14? wakati Kiteto mavuno ni kidogo sana. Au huyu wa Kiteto kadanganya?
.mkuu labda yapungue kuanzia kesho baada ya kupigwa stop kupelekwa nje
lakini hiyo ndo bei ya mahindi soko kuu la dom na mtama ni 22,000/- kwa debe
 
Mkuu hiyo bei nimetoka juulizis mwenyewe soko kuu la dodoma mjini jana nikapatwa na mshangao nikaona niuze mzigo fasta nikanunue mwingine ndo niuweke stoo
Daa inashangaza aisee
Dalali anakula ngapi halo
Na kwa kilo bei gani mkuu?
 
Hii bei hapana!! mwezi wa sita nilinunua hapo kwa tsh 700per kg na hapo mavuno yalikuwa hayaja changanya kama sasa.
mkuu ulinunuq mtama au mahindi na je uliuliza bei ya debe pia?
 
mkuu ulinunuq mtama au mahindi na je uliuliza bei ya debe pia?
Mkuu bei mjini ni per kg..shuhuli za debe cku izi ni chache labda vijijini..na mtama ilikuwa 650 japo kwasasa unazidi poromoka mpaka 400-500
 
.mkuu labda yapungue kuanzia kesho baada ya kupigwa stop kupelekwa nje
lakini hiyo ndo bei ya mahindi soko kuu la dom na mtama ni 22,000/- kwa debe
Mkuu ina mana mtama una bei kubwa kuliko mahindi?
 
Back
Top Bottom