Bei ya mahindi kwa sasa sokoni

Bei ya mahindi kwa sasa sokoni

Mkuu bei mjini ni per kg..shuhuli za debe cku izi ni chache labda vijijini..na mtama ilikuwa 650 japo kwasasa unazidi poromoka mpaka 400-500
Daaa mm pia nashangaa dodoma mjini ananiambia debe badala ya kilo
 
Bado mchanga. 8 hadi 10
Mkuu siyo lazima upakie tani zote kwa siku moja unaweza chukua hata tani 100 ukaweka delivering time ndani ya wik au zaidi uwe umemaliza..kulingana na uwezo wako..sema hapo pia changamoto utakutana nayo kwenye mabadiliko ya bei kama utachukua muda mrefu sana.
 
Sorry wadau
Wapi naweza shudu za kutosha kwa bei nzuri?
Kati ya dumila,gairo,kibaigwa,kongwa au mpwapwa
Bidhaa hii inapatikana kwa bei gani kwa kilo maeneo haya
Kwenye ufahamu tafadhali
 
Back
Top Bottom