Inamonga
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 779
- 476
Iko wapi iko mkuu?Mkuu kuna mbegu nimeambiwa hailiwi na ndegu..embu na ww jaribu kuifwatilia
Iko wapi iko mkuu?Mkuu kuna mbegu nimeambiwa hailiwi na ndegu..embu na ww jaribu kuifwatilia
Hawa wazaramo hawawezi kazi aisee.. unaweza ukamuweka ukakuta mambo yameharibika..utawekwa mlinzi
Mkuu nimepewa muongozo tu na mdau mmoja wa mtaka kuwa karatu kuna mzungu analimaga mtama balaa yy mbegu yake hailiwi na ndegu. Nami ndo nipo kwenye mchakato wa kumsaka.Iko wapi iko mkuu?
Check hiyo link hapo huenda ikakusaidia mkuuwakuu naomba kuuliza bei ya Mahindi kwa sasa Gunia ipoje?
kilosa kijiji gani hiyo beiKilosa Morogoro gunia ni 40,000/=
mkuu mlowo ama mloo?Hii bei ya mloo sokoni au kwa mkulima?
Kama ni kwa mkulima,,je mloo sokoni bei gani?
ama wa dodoma ndio kadanganya sababu na kibaigwa ni karibu pia vijiji vingi vya mpwapwa kuna mzigo wa maana tu kuanzia gulwe to kibakweInashangaza, kama Kiteto ambayo ipo karibu na Dodoma, bei ni 45 elfu, iweje Dodoma iwe laki na 14? wakati Kiteto mavuno ni kidogo sana. Au huyu wa Kiteto kadanganya?
sabasaba dom bei hiyo iwe ya jumla kweliUnataka kunambia hiyo bei ni jumla jumla?
ila ni nzuri wacha tujitosheleze wenyewe kwanzaAsee! Ile stop nayo imenivunja moyo kweli
ila tuwe makini kwa wale tunaokwenda mashambani kununua mzigo jamaa zangu majuzi walikukutishwa mshiko wote na wazee wa hapa kaziMkuu upatikanaji wake vip? Kwa mfano gari ya tani 32 mtu anaweza jaza kwa siku ngapi?
debe ngapiBondo Handeni Mahndi Gunia 35alfu
wewe bana acha utani mgeta wanalimia wapi mahindi sasaMorogoro,mngeta 35000,gunia mkuu..kwa mkulima
Hilo neno mkuu!! Kuna jamaa aliniita songwe huko ndani ndani kuchukua mtamaa...nimefika jamaa hana mzigo wowote alafu ananilazimisha ni lale pale pale kijijini nikaona chezoo hilo.ila tuwe makini kwa wale tunaokwenda mashambani kununua mzigo jamaa zangu majuzi walikukutishwa mshiko wote na wazee wa hapa kazi
tuwe makini
Ni wapi huko mkuu? ngoja nije pmkwa mkulima ndugu
Mkuu.. vile na mimi unipe hiyo orderUwezo wako tani ngapi nikupe order
, nitashukuru sanaHapa busunzu-kibondo ni 75000.84000 Kigoma
Embu fuatilia mkuu tupeane taarifa..Mkuu nimepewa muongozo tu na mdau mmoja wa mtaka kuwa karatu kuna mzungu analimaga mtama balaa yy mbegu yake hailiwi na ndegu. Nami ndo nipo kwenye mchakato wa kumsaka.
Huko sindio kunawazalishaji wa awali mkuuHapa busunzu-kibondo ni 75000.