mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,570
- 6,433
Tena hata christmass haifiki!bei nzuri wenye hela wachangamkie hiyo dili tuje tuwauzie tena kwa laki2 baadaye
Ngoja na mimi nifanye sasa maana daah
brain is the beautiful part of the body.
Tena hata christmass haifiki!bei nzuri wenye hela wachangamkie hiyo dili tuje tuwauzie tena kwa laki2 baadaye
Tehteh
Tsh 600 kwa kilo inakuja 120000 kwa gunia?
Mkuu, ikihitajika pcs 20 naweza kuipata kwa mkoa wa Tanga.HIFADHI MAZAO BILA KUTIA DAWA
Kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji, tumia mifuko ya kisasa (helmetic) kuhifadhi mazao yako. Mifuko inaitwa PICS Na AgroZ.
Ukubwa: kilo 100
Bei: 4000
Tutakutumia ulipo.
FARMRICH Agro-Enterprises Ltd
Email: farmrichagro@gmail.com
Call: 0755325442
JINSI INAVYOFANYA KAZI
Mifuko hii hairuhusu hewa kuingia Wala kutoka. Ukifungia mazao katika mifuko hii, mazao hutumia hewa yote ya oxygen iliyopo mifukoni na kubakisha Carbondioxide.
Wadudu wanahitaji Oxygen ili waishi. Wakikosa Oxygen hufa ndani ya siku Saba.
ONYO: Usihifadhi mbegu humu, inaweza kufa.
JINSI YA KUTUMIA
Hakikisha mazao yamekauka vema. Safisha mazao yako kwa kuhakikisha Vumbi Na uchafu mwingine vimetolewa.
Weka mazao katika mfuko. Funga mfuko wa kwanza kwa kamba, funga wa pili, funga wa tatu.
Weka mifuko sehemu salama ili isitobolewe Na misumari ama vijiti. Tumia njia zingine kudhibiti wadudu kama panya nje ya mfuko.
ONYO: Usishone mfuko
MUDA WA MATUMIZI
Mfuko huu Bado uko salama mpaka tu pale utakapokua umetoboka.
Waweza kutumia zaidi ya misimu mitatu.
MAELEZO ZAIDI
FARMRICH Agro-Enterprises Limited
farmrichagro@gmail.com
www.farmrich.wordpress.com
0755325442
Kitini ndo nn mkuu
nahisi katumia mother tongue!Wapi yanapatikana? Ahitaji mm. Naomba nipatie namba yako. Whatsap 0777362964Siwezi kuingilia biashara yenu ila ukihitaji tuwasiliane yapo mengi tu kwa 40000
48 mbeya
Mkoa wa mpya wa Songwe ni shilingi 42'000/= kwa gunia la debe sita sawa na sh 7000/= kwa debe.
Ngoja ajichanganye aguse waya unaoenda Ubungo pale Kilimani!Anataka kuliamsha dude gani tena...
Unajua kuna mgeta ya kilombero kuvuka mbingu na mgeta ya mvomero wewe unazungumzia mgeta gani mkuu.
Tuambiane kakaMachache sana hayo mkuu..kama unayo mengi sema nikuonyeshe pakupeleka upige pesa