Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,192
- 79,631
Petrol ilikua Tsh 3100 sasa ni 2947 Wakati diesel ilikua 2934 sasa ni 2868 per Litre
Exactly 💯Nguvu ya dola....!
Exactly 💯
Nasikitika mno ,machawa hawachelewi kutoa milio ya mama mamamamamaExactly 💯
.View attachment 3327682
Petrol ilikua Tsh 3100 sasa ni 2947 Wakati diesel ilikua 2934 sasa ni 2868 per Litre
Mimi nina bata vuzi kwani vipiuna gari
Ndio 😎😎una gari
Huu nao uzembe yaani wameshindwa kabisa kutoa hiyo 947 ili ibaki 2000/ =Cash.. Kutoa usumbufu wa chenji..TBL wanashinda wapi kwenye bei ya beer wamezingatia tolea la noti..View attachment 3327682
Petrol ilikua Tsh 3100 sasa ni 2947 Wakati diesel ilikua 2934 sasa ni 2868 per Litre
Sio gari tu bei ya mafuta kushuka ina mhusu kila mtu hata bidhaa mbalimbali zinaweza kushuka.una gari
We unawaza ile gari yako ninayokuona nayo kwenye ofisi ya SAG😁😁😁😁?Ila kupanda kwa bei ya mafuta (petroli) isiwe sababu ya kuacha kujaza full tank au kuanza kuweka mafuta ya elf 10.....
Jaza tanki, punguza safari zisizo na ulazima.
kivipiSio gari tu bei ya mafuta kushuka ina mhusu kila mtu hata bidhaa mbalimbali zinaweza kushuka.
GoodNdio 😎😎
punguza kujidhalilisha mkuuMimi nina bata vuzi kwani vipi
Bidhaa zinategemea usafiri hushuka beikivipi
Umezaliwa mwaka gani?punguza kujidhalilisha mkuu