2013Umezaliwa mwaka gani? View attachment 3327886
Sawa dogo2013
We unawaza ile gari yako ninayokuona nayo kwenye ofisi ya SAG😁😁😁😁?
utofauti wa 2934 na 2868 = 66Tsh....View attachment 3327682
Petrol ilikua Tsh 3100 sasa ni 2947 Wakati diesel ilikua 2934 sasa ni 2868 per Litre
wanaoharibu shillingi yetu kushuka Dhamani ni serekali yetu ilioshikilia asilimia nyingi za madeni ya Nje, 76.4% EU wakija kufanya uwekezaji huku hawatumi ela nyingi tofauti na sisi tukienda kwao unabidi ubadilishe buku3 iwe dollar 1 na kicent ila yeye akija huku anabadili dollar 1 iwe buku 3 Ni maumivu kwetu TuIlitakiwa kushuka zaidi. Kwenye soko la dunia bei ya mafuta Iko chini sana. Nadhani tumeharibiwa na shilingi yetu kushuka thamani