Bei ya madini ya dhahabu Tanzania

Bei ya madini ya dhahabu Tanzania

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Bei ya madini ya DHAHABU leo Tarehe 19 July kwa kila gram 1 ni kama ifuatavyo:

■ soko la dunia gram 1 ni Tsh 280,822/=
■Soko la Tanzania gram 1 ni Tsh 252,740/=
Wewe unafikiri ni kwanini bei inatofautiana hapo??
 
Aisee
Nakwambia hio ilikuwa 1998, nakumbuka sana
Mama alinipa hela yake nikamnunulie tola mbili
Sisi familia zetu wanaume tunawanunulia dhahabu wake zetu na ni utamaduni wa miaka na miaka

Na wasichana hupewa kiasi na mama zao pindi wanapoolewa
Ni uwekezaji mzuri sana maana thamani hupanda kila wakati

Kuna nchi zimewekeza dhahabu nyingi sana ambapo ni utajiri mkubwa sana

Algeria wanaongoza Africa kwa kuwekeza Toni 180 kwenye akiba yao
Sisi sidhani hata kama tuna tani moja
 
Utofauti huo wa bei ndiyo unaofanya biashara iendelee kustawi.

To be honest, bei ya sasa ya dhahabu ni nzuri kuliko miaka yote

Kama uliweza kuhifadhi akiba ya Mwaka 2021 tu, saivi utauza Kwa bei nzuri zaidi iliyopo Sokoni

NB: ukiweza kwenda kuuza kwenye soko la Dubai, utauza Kwa bei hiyo ya 280k

Hivyo utapata Faida mara mbili zaidi
 
Utofauti huo wa bei ndiyo unaofanya biashara iendelee kustawi.

To be honest, bei ya sasa ya dhahabu ni nzuri kuliko miaka yote

Kama uliweza kuhifadhi akiba ya Mwaka 2021 tu, saivi utauza Kwa bei nzuri zaidi iliyopo Sokoni

NB: ukiweza kwenda kuuza kwenye soko la Dubai, utauza Kwa bei hiyo ya 280k

Hivyo utapata Faida mara mbili zaidi
Kwenye kibali sasa ndo kipengele na ukitakwa unapewa kesi ya utoroshaji wa madini na wkt umechimba mwenyewe😁
 
Utofauti huo wa bei ndiyo unaofanya biashara iendelee kustawi.

To be honest, bei ya sasa ya dhahabu ni nzuri kuliko miaka yote

Kama uliweza kuhifadhi akiba ya Mwaka 2021 tu, saivi utauza Kwa bei nzuri zaidi iliyopo Sokoni

NB: ukiweza kwenda kuuza kwenye soko la Dubai, utauza Kwa bei hiyo ya 280k

Hivyo utapata Faida mara mbili zaidi
Kumbe ndiyo maana wale wahuni kwenye ile Docuseries ya Gold Mafia wanafosi kwenda kuuza Dubai?! Hatari sana
 
Back
Top Bottom