pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,592
- 14,681
Juzi walisema tuna hifadhi ya tani 17 ya dhahabu pale hazina.Sisi familia zetu wanaume tunawanunulia dhahabu wake zetu na ni utamaduni wa miaka na miaka
Na wasichana hupewa kiasi na mama zao pindi wanapoolewa
Ni uwekezaji mzuri sana maana thamani hupanda kila wakati
Kuna nchi zimewekeza dhahabu nyingi sana ambapo ni utajiri mkubwa sana
Algeria wanaongoza Africa kwa kuwekeza Toni 180 kwenye akiba yao
Sisi sidhani hata tuna tani moja