Stamina JF-Expert Member Joined Jul 3, 2012 Posts 1,040 Reaction score 589 Mar 13, 2015 #1 Msaada wadau, nipo chuo, mbali na Dar es salaam, naomba kwa anayejua bei ya huawei y550 kwa hapo Dar, anijuze wadau!
Msaada wadau, nipo chuo, mbali na Dar es salaam, naomba kwa anayejua bei ya huawei y550 kwa hapo Dar, anijuze wadau!
Stamina JF-Expert Member Joined Jul 3, 2012 Posts 1,040 Reaction score 589 Mar 21, 2015 Thread starter #3 Tanga Finest said: Laki 2 Click to expand... Acha utani basi, huawei y530 ni 195,000 nauliza huawei y550 sio y530,,,
Tanga Finest said: Laki 2 Click to expand... Acha utani basi, huawei y530 ni 195,000 nauliza huawei y550 sio y530,,,
Kibishi JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 1,139 Reaction score 1,040 Mar 21, 2015 #4 Stamina alivyouliza ki-simple simple unaweza kudharau eti! Nimeicheki GSMARENA hii simu,ni 4G i.e LTE Khaa!,hili zali,simu ya 4G kwa bei rahisi!
Stamina alivyouliza ki-simple simple unaweza kudharau eti! Nimeicheki GSMARENA hii simu,ni 4G i.e LTE Khaa!,hili zali,simu ya 4G kwa bei rahisi!
AgentX JF-Expert Member Joined Mar 7, 2015 Posts 1,651 Reaction score 1,700 Mar 22, 2015 #5 Nenda ebay
Eddy M Member Joined Apr 6, 2012 Posts 61 Reaction score 11 Mar 22, 2015 #6 Stamina said: Acha utani basi, huawei y530 ni 195,000 nauliza huawei y550 sio y530,,, Click to expand... Hizo simu nimezikuta sehemu fulani Mbeya zinauzwa 220000
Stamina said: Acha utani basi, huawei y530 ni 195,000 nauliza huawei y550 sio y530,,, Click to expand... Hizo simu nimezikuta sehemu fulani Mbeya zinauzwa 220000