Kwan kuna ubaya kuuliza kitu usichokijua?Kunasiku memba atakuja kuuliza hata bei ya spoku ya baiskeli, ila anayo kazi sana huyu shemeji yangu Maxence Melo
Ipo used andaa laki 5 na nusu mwisho laki 51AZ mkuu
Hakuna ubaya mkuu, tushajua kwamba unamiliii mkebe😂Kwan kuna ubaya kuuliza kitu usichokijua?
Mpya kabisa inabidi ukacheki Kisangani au duka la Toyota Pale Kariakoook sawa ntakuchek kwani bei ya mpya sh ngap?
Kariakoo, nilipita leo hawana hata Toyota hawana. Wewe unataka Control box iwe mpya toka Japan au unataka used from DubaiKisangani ndo wap mkuu samahani unaweza nielekeza
Mkuu Google search andika Toyota dealer near me. Au andika Duka la spear za Toyota dar. Wanaweka namba za siku wapigie upate kujua beiKisangani ndo wap mkuu samahani unaweza nielekeza
Pole mkuu.Habari za majukumu ndugu zangu,, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu napenda kuuliza bei ya control box ya gari tajwa hapo juu maana gari yangu iliingia kwenye maji ikapiga shot So nataka kununua mpya..
Naomba kuwasilisha kwenu
Aiseee ni kweli mkuu ila huyu Jerry ni kama nimchek akasema hanaPole mkuu.
Nakumbuka kwenye uzi wako ule nilikuambia itakua control box imeingia maji na baada ya kuiwasha mkaiua kabsa....
Unaweza kwenda ilala au tandale kule magari mengi yamechinjwa ukajipatia control box.
Au mcheki kijana 07156666656 Jerry Spare.