Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,176
- 21,315
Na hasa watanzania wengi wanaamin kila kitu Ni wizi mm nimeijua btc ikiwa dollar 9000/ lakin Hadi naandika ujumbe nimenunua coin nying Sana about 10milion Aina tofaut tofautiMkuu hakuna watu wabishi na wababaifu Kama watu wa jf ....
Kitu hakijui lakin anakikataa kuwa hakipo .....
Watu Kama hawa hata siku za mwisho watabaki wameduwaa tu ...
Nuhu wakati anajenga safina angekuwa zama hizi nahisi angepata tabu Sana ,kwa sababu watu wenyewe ni Kama hawa ...
Wabishi hatari
Ni kweli kabisa! Sometimes sijui ni uoga sijui ni kuto elewa, mtu anatoa mil 100 anaweka benk anakaa akingoja riba ya 8% kwa mwaka! Wakati angeweza fungua macho akawekeza hata robo ya hiyo 100mil yake kwenye coins (hasa BTC na ETH) mwanzoni mwa mwaka huu wenda leo angekua mbali mno!Siyo 2010 tu. Aliye nunua mwezi wa nane low price ilikuwa USD 37000 Leo hii mwezi wa kumi iko mara 1.8 zaidi sawa na ongezeko la Karibia 200% View attachment 1984002
Mm Naona changamoto kubwa Ni uoga na pia uelewa upo chini sanaNi kweli kabisa! Sometimes sijui ni uoga sijui ni kuto elewa, mtu anatoa mil 100 anaweka benk anakaa akingoja riba ya 8% kwa mwaka! Wakati angeweza fungua macho akawekeza hata robo ya hiyo 100mil yake kwenye coins (hasa BTC na ETH) mwanzoni mwa mwaka huu wenda leo angekua mbali mno!
$1K Invested in SHIB on January 1 2021 Worth Now $500 MillionHabari wadau!
Utani utani bitcoin sasa imefikia bei ya juu zaidi kuwahi kuonekana tokea imeanza mwaka 2009!
Kwa sasa bitcoin moja ni USD 66,000 sawa na TZS 153 milion!
Najaribu kuwaza kama mtu alinunua walau Bitcoin 20 tu kipindi imeanza au miaka ya 2010 mpaka 2013 leo atakuaje?
Mfano mtu aliyenunua hisa za 1mil za CRDB au NMB au kampuni yeyote hapa Tz miaka ya 2010 mpaka 2014 hiyo pesa angenunua bitcoin au etherium leo angekua wapi?
Dunia inaenda kasi sana!
Acha tu mkuu!! Shib inapanda kama haina akili!$1K Invested in SHIB on January 1 2021 Worth Now $500 Million
Afu kingne hii Shiba namuona Elon musk anaipromote sanaAcha tu mkuu!! Shib inapanda kama haina akili!
Baada ya DOGECOIN shib inafwata. Ni kama ETH ilivyo kwa BTC.
Mkuu umenikumbusha mwez ulipopita nilitaka kununua Shiba za lak 3 ambapo nilikuwa napata Shiba milion 95 lakin nilihofia badala yake nikanunua chini ya hapo leo hii Shiba ilienda Hadi 0.1 nimeumia sana lakin naamin bado sijachelewa walahi Kama Shiba utaenda hvi after two years inaweza kuwa 1dollar
Mim nimeijua BTC 2010 nikajua utapeli ya mtandaoni nilipishana na utajiri
Jichanganyeni tu... Pesa ni halisi Ila sisi tupo nyuma ya hizo mambo , sio level yetu... Mtaibiwa hukoBitcoin is a real deal tatizo watu wanaiharibia.
kipindi hicho nahisi ilikuwa chini ya dollar elf 3000.mm nilitaman Sana kuijua lakin siku hyo nilipoijua tu nilijiunga
Hatujabisha mkuu ....Ila taifa ndio limeyakataa haya mazaga ..ko unaweza ukapigwa na ukawa huna la kusema Wala kwakwenda.Mkuu hakuna watu wabishi na wababaifu Kama watu wa jf ....
Kitu hakijui lakin anakikataa kuwa hakipo .....
Watu Kama hawa hata siku za mwisho watabaki wameduwaa tu ...
Nuhu wakati anajenga safina angekuwa zama hizi nahisi angepata tabu Sana ,kwa sababu watu wenyewe ni Kama hawa ...
Wabishi hatari
Kwenye global markets huwa hatutumii Tsh mara nyingi tunatumia USD.Mkuu umesema Shiba haijawahi kufika Tzsh 0.1 hyo Ni sh ngap ama wewe umezungumzia 0.1$????? Mkuu nakataa maana nilishafanya hesabu before kipindi ikiwa 0.0032Tsh ambapo ungenununua kwa lak 300,000 ungepata coin Zaid ya milion 92+View attachment 1985961
Ni taifa gani limekataa mkuu? Unafwatiliaga hotuba za Mama samia kweli?Sasa unazan dolar 3000 ni pesa ndogo kwa 2010 enh
Hatujabisha mkuu ....Ila taifa ndio limeyakataa haya mazaga ..ko unaweza ukapigwa na ukawa huna la kusema Wala kwakwenda.
Yani unafurahia kuwa nyuma daaah!!Jichanganyeni tu... Pesa ni halisi Ila sisi tupo nyuma ya hizo mambo , sio level yetu... Mtaibiwa huko
Na wengi ndio wana mawazo haya! Siku ukizinduka gari limekuacha!Mim nimeijua BTC 2010 nikajua utapeli ya mtandaoni nilipishana na utajiri