Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 13,935
- 21,067
Mkuu hakuna watu wabishi na wababaifu Kama watu wa jf ....
Kitu hakijui lakin anakikataa kuwa hakipo .....
Watu Kama hawa hata siku za mwisho watabaki wameduwaa tu ...
Nuhu wakati anajenga safina angekuwa zama hizi nahisi angepata tabu Sana ,kwa sababu watu wenyewe ni Kama hawa ...
Wabishi hatari
Kitu hakijui lakin anakikataa kuwa hakipo .....
Watu Kama hawa hata siku za mwisho watabaki wameduwaa tu ...
Nuhu wakati anajenga safina angekuwa zama hizi nahisi angepata tabu Sana ,kwa sababu watu wenyewe ni Kama hawa ...
Wabishi hatari