Bei mpya za Internet Bandwidth za TTCL, 45,000=/ kwa mwezi

tototundu

Senior Member
Jul 29, 2009
198
40
Nimeona tangazo la TTCL kwenye daily news la leo (02/10/2009) kuhusu kupungua kwa gharama za matumizi ya internet kutoka kwa huyu service provider TTCL.
Kiujumla, ukichukua tariff zote, wamepunguza gharama za internet usage kwa 65%.

Kilichovutia jicho langu ni ile gharama mpya ya home/non commercial user, ambayo ni unlimited, masaa 24 kila siku na ni 256Kbps na inakwenda kwa sh 45,000/= kwa mwezi.

Swali kwa wataalamu wetu wa IT hapa, does it worth it?
 
Swali kwa wataalamu wetu wa IT hapa, does it worth it?

Mkuu sina hakika sana lakini nadhani swali ni "is it worthy it?"
Pia nadhani sio wataalamu wa IT zaidi hili swali - pengine ni watu wa commercial and sales kwenye IT background.
 
That's good news.

Depending on performance it may be worth it. It will take several steps to bring down prices to reasonable level, and TTCL have have taken a step ahead.
 
TTCL hawana mpango wowote. Siku zote bei zao zimekuwa juu wakati kampuni binafsi kama Cats-Net bei zao (wireless) zimekuwa nafuu sana. Kwa mfano tangu mwaka jana June nalipa USD150 kwa miezi mitatu na naweza kutumia zaidi ya PC 3 kwa mpigo. Wakati TTCL kwa huduma za wireless usiseme kabisa, ukiachia gharama za broadbend ambazo zilikuwa hazishikiki. Je, wao walikuwa wapi siku zote??
 
ttcl hawana mpango wowote. Siku zote bei zao zimekuwa juu wakati kampuni binafsi kama cats-net bei zao (wireless) zimekuwa nafuu sana. Kwa mfano tangu mwaka jana june nalipa usd150 kwa miezi mitatu na naweza kutumia zaidi ya pc 3 kwa mpigo. Wakati ttcl kwa huduma za wireless usiseme kabisa, ukiachia gharama za broadbend ambazo zilikuwa hazishikiki. je, wao walikuwa wapi siku zote??
hizi ni faida za mkongo wa chini ya bahari ambapo rais alisema utapunguza gharama na utakuwa kasi zaidi.....!
Big up ttcl.......!
 
ingekuwa vema kujua performance yake kwa watakaotumia kabla ya
 
Nimeona tangazo la TTCL kwenye daily news la leo (02/10/2009) kuhusu kupungua kwa gharama za matumizi ya internet kutoka kwa huyu service provider TTCL.
Kiujumla, ukichukua tariff zote, wamepunguza gharama za internet usage kwa 65%.

Kilichovutia jicho langu ni ile gharama mpya ya home/non commercial user, ambayo ni unlimited, masaa 24 kila siku na ni 256Kbps na inakwenda kwa sh 45,000/= kwa mwezi.

Swali kwa wataalamu wetu wa IT hapa, does it worth it?
Yeah man.....i'm gonna see the same mama ambae alinipa maelezo ya kukanganya few weeks ago.......wanasema unlimited lakini downloading and uploading sio unlimited....WTF!
 
kwa tshs 45000 si mbaya kutoka kwenye ile bei iliyokuwepo hapo awali,mimi niko india natumia 256kbps ila ni kwa Tshs 18000.
 
ingekuwa vema kujua performance yake kwa watakaotumia kabla ya

Kwa speed imeongozeka - you can tell it. It's worth your money!

Alau hawa jamaa wa TTCL, kwanini wasiweka website yao ikawa attractive? I hate their design!
 
Pia, hivi hawa watu wa WIA nao wameunganishwa na SEACOM?

Recently speed imeongezeka sana - I can download at 300 - 400KB/s. It's very fast!

I can watch a full UTube clip from start to finish without a single pause.
 
pia, hivi hawa watu wa wia nao wameunganishwa na seacom?

Recently speed imeongezeka sana - i can download at 300 - 400kb/s. It's very fast!

I can watch a full utube clip from start to finish without a single pause.

hao wia wako wapi?gharama zao kwa mwezi zikoje?ofisi zao wapi?
 
Pia, hivi hawa watu wa WIA nao wameunganishwa na SEACOM?

Recently speed imeongezeka sana - I can download at 300 - 400KB/s. It's very fast!

I can watch a full UTube clip from start to finish without a single pause.

Habari nilizonazo ni kwamba WIA tayari wako connected kwenye SEACOM.

Vilevile Habari ambazo sijazithibitisha zinasema kuwa Parent Company ya WIA iliyoko South Africa wanamiliki some shares in SEACOM (Sijui % ngapi), kitu kinachowapa upper hand kwenye maswala ya Internet
 
Pia, hivi hawa watu wa WIA nao wameunganishwa na SEACOM?

Recently speed imeongezeka sana - I can download at 300 - 400KB/s. It's very fast!

I can watch a full UTube clip from start to finish without a single pause.




Ni 400KB/s au 400Kbps ....

Kama unastream na 400KB/s which is ~ 4mbps thats quite fast ..

Thats the Total Bandwidth most ISPs where connected to a couple of months before the Fibre lol !!!!!

Tumetoka mbali.... lakini tutafika.
 
tuwe careful, "unlimited" ni unlimited ukweli? isije ikawa kama zantel where unlimited inakuwa ni package ya 200MB!! anyone anaweza kuclarify hiyo part?
 
Back
Top Bottom