kuweni wavumilivu naye ni binadamu sio malaika wala roboti inawezekana kapata matatizo.vuta subiraTatizo mnamsifia kupitiliza hivyo jamaa kavimba kichwa ndo maana ameanza uswahili wa kuleta thread nusunusu tena na hata akiahidi siku ya kuiendeleza hatimizi ahadi maana keshavimba kichwa tena hata wafuasi wake makini wameanza kupungua wamebaki "akina unitag" tofauti na zamani maana anafanya uhuniuhuni tu
lijamaa nw limevimba kichwa,analeta vipande ving km series za kibongo!Tatizo mnamsifia kupitiliza hivyo jamaa kavimba kichwa ndo maana ameanza uswahili wa kuleta thread nusunusu tena na hata akiahidi siku ya kuiendeleza hatimizi ahadi maana keshavimba kichwa tena hata wafuasi wake makini wameanza kupungua wamebaki "akina unitag" tofauti na zamani maana anafanya uhuniuhuni tu