Isack Msemo Rajab
Member
- Nov 23, 2016
- 87
- 37
Sehemu ya nne (4) bado haijatoka ??
uko wapi the bold...mwenzio haka kaseries natongozea demu,na anajua mimi ndiye mtunzi,sasa mkuu nilimuambia leo nakutetea sehemu ya nne,tangu asubuhi ananikumbusha najifanya niko bize na kikao,sasa siku inaisha mkuu the bold tafadhali nifanyie wepesi tafadhali kaka.
Mkuu The bold naomba kujua kama waliopanga na kutekeleza shambulio la kigaidi ubalozi wa marekani Dar walikamatwa au waliuwawa?
Exactly, twende tukaparty.Leo jumamosi
Hamna namnaExactly, twende tukaparty.
Atakuwa alimaanisha jumamosi ijayoLeo jumamosi
Atakuwa alimaanisha jumamosi ijayoLeo jumamosi