Ninayo nikupe?Hebu mwenye no yake ampigie tujue kilichomsibu
Umeambiwa mpigie, au Kiswahili kigumu?Ninayo nikupe?
Mpaka abembelezwe na Nifah.Hebu mwenye no yake ampigie tujue kilichomsibu
Lazima kapatwa na kilicho mkuta hivi kawai kuvuta siku kweli kama hv??Tatizo mnamsifia kupitiliza hivyo jamaa kavimba kichwa ndo maana ameanza uswahili wa kuleta thread nusunusu tena na hata akiahidi siku ya kuiendeleza hatimizi ahadi maana keshavimba kichwa tena hata wafuasi wake makini wameanza kupungua wamebaki "akina unitag" tofauti na zamani maana anafanya uhuniuhuni tu
5000kwani kujiunga huko whatsap bei gani
Nani kakwambia ufuatilia stori usizoalikwa uje kuzisoma....mwenyewe ndo unajicheleweshea muda mkuuUmeanza tabia ya SHIGONGO na magazeti yake ya ijumaa...humalizi stori...ili uendeleee kula muda wetu..kwani ni TAMTHILIA HII?. Licha ya kutusaidia kwa kuyakusanya matukio pamoja..ila sasa umeanza kula muda wetu..au tupe link /translation source tusome wenyewe...Au sasa tutanza kuona kama unaboa....pia hii inaonyesha umeanza kuishiwa matukio...unaanza kuketa series. Hii mbinu hiache itakupunguzia wafuasi. Maliza stori ..ulete ingine maana ziko nyingi duniani...HATA HIVYO NAKUSHUKURU kwa kutenga muda wako !.
Wewe subir kuharikwa...!!Nani kakwambia ufuatilia stori usizoalikwa uje kuzisoma....mwenyewe ndo unajicheleweshea muda mkuu
Mkuu mfano akija akakwambia alikua na tatizo la kifamilia, au kijamii au alisafiri nje ya nchi utamwomba msamaha kwa haya uliyoandika? Ni mara ngapi ameleta thread nzima na mara ngapi ameleta nusunusu? (Tufanye comparison sio kulalamika tu), Ok mkuu unasema ameanza uswahili kwanini wewe mwenye uzungu usitafute source ya story yake ukatafsiri kisha ukaileta mwanzo hadi mwisho? (Somo hapa jifunze kuheshimu kitu anachofanya mtu wakati wewe huna uwezo nacho), unasema amevimba kichwa! kwa kipi unachomlipa??? akikuwekea story ukasoma ukamsifia unakua umempa nini cha kuilisha familia yake???, wengi wanasoma whatsapp kwenye group lake ndo mana hawaonekani humu, na wengine wanasoma tu bila kucoment kwa ajili ya wivu wao kama wewe.Tatizo mnamsifia kupitiliza hivyo jamaa kavimba kichwa ndo maana ameanza uswahili wa kuleta thread nusunusu tena na hata akiahidi siku ya kuiendeleza hatimizi ahadi maana keshavimba kichwa tena hata wafuasi wake makini wameanza kupungua wamebaki "akina unitag" tofauti na zamani maana anafanya uhuniuhuni tu
Umempata?Anakuja