Hawa wanaojiita mastaa mimi walishanichosha, ustaa wa kuandikwa ovyo magazetini na kwenye mitandao, hivi huwa hawa ndugu wenye heshima wawashauri, yaani wako kama vile hawana hata wazazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.