Beef beef ndani ya bongo movie

HII KITU NIMEKIPATA KWA MSAADA WA MTANDAO WA DUBAI
Dah wana uturn ni kwa masikitiko makubwa mno nawaletea habari hii, Jokate kamnyakua Diamond kutoka kwa wema. Yani navyowaeleza ni kwamba kwa siku nne mfululizo diamond alimwacha wema peke yake nyumbani kwake na kwenda kukaa hotelini na jocate.

Kwa kweli mie kama mwanamke imeniuma Jocate anaelewa kabisa hii couple kila mtu anaikubali kwanini aingilie mapenzi yao?

Alafu nilidhani ni siri kumbe sio siri naona hata magazeti ya udaku leo wamerusha hii habari.
Dah wana uturn ni kwa masikitiko makubwa mno nawaletea habari hii, Jokate kamnyakua Diamond kutoka kwa wema. Yani navyowaeleza ni kwamba kwa siku nne mfululizo diamond alimwacha wema peke yake nyumbani kwake na kwenda kukaa hotelini na jocate.

Kwa kweli mie kama mwanamke imeniuma Jocate anaelewa kabisa hii couple kila mtu anaikubali kwanini aingilie mapenzi yao?

Alafu nilidhani ni siri kumbe sio siri naona hata magazeti ya udaku leo wamerusha hii habari.
Hiyo ni couple nayo unaweza ukaiita,au na wewe ni aina hiyo hiyo. Nijuavyo mimi wema, jokate Diamond na wengi wa aina hiyo wanaojiita kizazi kipya wote ni wahuni tu. Hivyo si ajabu kumsikia huyu kamchukua yule, ila ni ajabu sana mtu unataja kuwa wahuni fulani ni couple.
 
Duh kaz ipo!! Mi huwa najiuliza hivi hawa mabinti wana wazaz na ndugu wanaowaheshimu? Maana mara nyingi wanaandkwa hovyo hovyo!!
 

Kwa story za juu juu nilizozipata ni kuwa wakati Diamond akishoot video ya mawazo na mwanadafada Jokate, walifanya ile kitu ya amri ya sita tulionyimwa mpaka tuoe na kuolewa, na wema sepetu aliwafuma wakilana denda live katika eneo hilo...sina uhakika zaidi lakini haya ni maneno na sauti ya wema akiongelea swala hilo

Namnukuu wema

' kwa kweli sikutegemea kunyang'anywa bf na mtu anaeimba kwaya kanisani na kumcha Mungu'


Wema akilalamika kuhusu jocate - - YouTube

diamondjokate.JPG


Wanapendeza pamoja bwanaaa WEma wa nini?
 
Mchaga wolper anawasumbua

Nimegundua kuna baadhi ya wachaga mnajiona kuwa mchaga tu ni sifa tosha ya kujigamba lakn kimsingi huo ni ushamba. Uchaga ni kabila kama yalivo makabila mengine hapa bongo. Sasa hapo wanazungumziwa watu wewe una introduce uchaga, so what????
 
Kuna mshikaji alinisikilizisha nyimbo mpya ya Tundaman akiwapaka sana Diamond na Wema haswa kuhusu penzi lao,sina uhakika km imeshatoka redioni, aligoma kunilushia ningewawekea mburudike...kuna wengine hizi skendo ndio zinawaweka mjini jamani.
 
Habari JF,

Leo nilikua naangalia CLOUDS TV-Take One::Zamaradi alikua anawahoji Wema na Irene Uwoya na wote wamefunguka
1.Wema Kamchana Jokate kwamba amempora mchumba wake(Diamond) na pili kamchana Jackline Wolper kwamba ni mshamba wa kijijini
2.Irene Uwoya kamchana nae Jack Wolper kwamba ni mlugaluga

Haya ebu tuone mwisho wao vijana

Nawasilisha

Wote hawa wana ugonjwa wa kuhara......tatizo la wasanii hasa wa kibongo tena wa kike ni kudhani kuwa umaarufu ni kupigana,kulumbana,kutukanana shit...Na hili linasababishwa na ujinga wa kudhani wao ni wazuri sana na wakishatongozwa na watu fulani wenye hela ndio wanajiona wamefika peponi...Huu ni ushenzi na kwa hakika wanapaswa kupewa ushauri nasaha ili kurekebisha saikolojia yao...
 
Nao wiki ijayo kwenye kipindi hicho watakluja kujibu mapigo. Sarakasi zile zile zinaendelea
 
I somehow thought this jokate girl has some classy in her. how low she can go hata kutoka na katoto kama diamond pamoja na usomi wake? I dont understand hawa wasichana wa bongo waokuwa famous kwa kupitia urembo..too confusing
 

Kwa story za juu juu nilizozipata ni kuwa wakati Diamond akishoot video ya mawazo na mwanadafada Jokate, walifanya ile kitu ya amri ya sita tulionyimwa mpaka tuoe na kuolewa, na wema sepetu aliwafuma wakilana denda live katika eneo hilo...sina uhakika zaidi lakini haya ni maneno na sauti ya wema akiongelea swala hilo

Namnukuu wema

' kwa kweli sikutegemea kunyang'anywa bf na mtu anaeimba kwaya kanisani na kumcha Mungu'


Wema akilalamika kuhusu jocate - - YouTube

diamondjokate.JPG


Wanapendeza pamoja bwanaaa WEma wa nini?

kama kuchapa watoto wazuri sifa mkali nasibu mwaka wako huu!!unatoa mkwaju unaingiza mkwaju!big up boy wachape nao kama wenyewe wanataka dudu!........ilikuwa sigon enzi hizo deplowmatz,akaja TID,Mr Blu kidogo na sasa THE PLATINUM DIAMOND!...
 
Habari JF,

Leo nilikua naangalia CLOUDS TV-Take One::Zamaradi alikua anawahoji Wema na Irene Uwoya na wote wamefunguka
1.Wema Kamchana Jokate kwamba amempora mchumba wake(Diamond) na pili kamchana Jackline Wolper kwamba ni mshamba wa kijijini
2.Irene Uwoya kamchana nae Jack Wolper kwamba ni mlugaluga

Haya ebu tuone mwisho wao vijana

Nawasilisha

Fid q alisema,
media zinasapoti..... Ili....?
 
I somehow thought this jokate girl has some classy in her. how low she can go hata kutoka na katoto kama diamond pamoja na usomi wake? I dont understand hawa wasichana wa bongo waokuwa famous kwa kupitia urembo..too confusing
Dogo ana mkwanja bana acheni afaidi...

Hey Diamond boy ukimaliza Jokate nenda kwa Wolper, Uwoya, Zamaradi na yeyote atakaye jipendekeza kwenye hela zako. Kwanza hela ndio zinazotafuta kwa kutokea sio wewe unayezitoa. Pili nyie watu wenye asili ya pwani hamshoboki sana na mambo ya investment kwakuwa utajili sio dili kwenu. Tumia hela dogo. Huyo mtoto Jokate ni mkali sana hata mimi ningekuwa naweza bongo fleva kama wewe ningemla..
 
Back
Top Bottom