Nyie mkishashusha mzigo tayari, lkn kwetu sisi intimacy inaendelea. If feels so good to sleep on hubby's chest!
Hahahahaaaa aisee No Comment hapo LizzyNdio maana wengine tuna vile vitanda vya 3*6. . . .hamna cha space wala nini.
Hahahahaaaa aisee No Comment hapo Lizzy
Ndio maana wengine tuna vile vitanda vya 3*6. . . .hamna cha space wala nini.
Inatakiwa kuwe na nafasi ili mpate hewa na kabaridi kaizidi ndo mnamuvuzishana tena kabbah......sasa kubanana mwanzo mwishoo.......aaanh labda kama betri ni la kuchaji na chaja ya kobe.............
ya y notIs it?
Shida iko hapa kwamba nyie wanawake on average mnaongoza kwa kuchakaza magodoro upande tunaolala sisi wanaume......hata kwenye 3*6 unayosema hamlali on top of the other ol nyt long.......bado tu you tresspass aaaargh.....yeye anapenda na wewe unapenda sawa ila wewe kila siku ndo unaenda kwa watuOLESAIDIMU Kwani shida iko wapi? Yeye anapenda na mimi napenda. . . hizo space peaneni nyie mnaohitaji.
Shida iko hapa kwamba nyie wanawake on average mnaongoza kwa kuchakaza magodoro upande tunaolala sisi wanaume......hata kwenye 3*6 unayosema hamlali on top of the other ol nyt long.......bado tu you tresspass aaaargh.....yeye anapenda na wewe unapenda sawa ila wewe kila siku ndo unaenda kwa watu
Sisi hua tunajikuta pale katikati....
Ukiwa kama msemaji wa familia.......asije kudai natural justice!!!!!