Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,787
Kama mchwaaaHuyo mbususu anaonekana hana huruma kabisa 🤣🤣🤣
Kama mchwaaaHuyo mbususu anaonekana hana huruma kabisa 🤣🤣🤣
Kama mchwa basi kibubu chako kiko hatarini, maana hao hawajui mzaha wakianza kazi 😂Kama mchwaaa
Rafiki acha kabisa 🤔 nisikitikieKama mchwa basi kibubu chako kiko hatarini, maana hao hawajui mzaha wakianza kazi 😂
Nitakuletea tranka hilo hakuna kitu itapenya hapoRafiki acha kabisa 🤔 nisikitikie
Hii road mbna ya kutoka town kwenda matimira, vumbi tupuu. Lol
Sema kweli nije nilifwate bcNitakuletea tranka hilo hakuna kitu itapenya hapo
Ukirudi kutoka mbugani utalifata 😆Sema kweli nije nilifwate bc
Karibu Yayeda Chini nakwambia ..🥹🥹
Tuletee na zile view za pale juu kwa mkuu kuangalia kwa laiboni. Au uwanja wa Range 🥹Pazuri ni kukosa pesa tu za kutembea vivutio
Ahaha we nipe location mapemaUkirudi kutoka mbugani utalifata 😆
Usiku uhuu utoana kesho nakuja nazo km. ZoteTuletee na zile view za pale juu kwa mkuu kuangalia kwa laiboni. Au uwanja wa Range 🥹
Kesho ifike haraka jamani. Nikamringishie mtu nimerudi🤣🤣🤣🤣Usiku uhuu utoana kesho nakuja nazo km. Zote
Ahahha atajua tu 😂Kesho ifike haraka jamani. Nikamringishie mtu nimerudi🤣🤣🤣🤣
Hahaha !Karibu Yayeda Chini nakwambia ..🥹🥹
Hii ni south Afrika wala sio huku kwetuHii road mbna ya kutoka town kwendamatimira, vumbi tupuu. Lol![]()
Ooh bas sawa.Hii ni south Afrika wala sio huku kwetu
Mbona sikioni kisima Cha chini? Halafu hapo karibu na hanga sioni like la mabati mabati.
Laiboni akeee