afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,211
- Thread starter
- #21
Mimi ni mwafrika sana tu, lakini najiuliza kama Mungu angepanga originaly waafrika ndio waishi huko kwenye sehemu zenye barafu hivyo sijui ingekuwaje, nadhani vizingizio vya kutoendelea vingekuwa vingi kweli kweli.
labda tungewekwa huko ingekuwa afadhali zaidi .......