Beautiful Africa-Angola.

Angalia Ramani nimekwambia hiyo Cabinda imezungukwa na DRC pamoja na bahari ya Atlantic unachotaka kubisha nn? Uwe unaelewa acha kukurupuka dogo

Hata somalia imezungukwa na bahari ya hindi djibouti na Kenya halafu mie sio Dogo ma nigger [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mafuta kitu gani Kuna nchi ina rasilimali kama Tanzania ukiacha South africa na dRC..????[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tz yako haina nini kwa mfano mn kila takataka lakin maisha holla
Asante kwa hili neno........analeta uswahili hapa
 
..Yaani amekariri tu Siasa,Uswahili,GDP,maendeleo.....ujinga huu sijui utatuisha lini watanzania wenzangu....Mtu umewekewa picha kwa ajili ya Utalii anaanza kutapika maneno cjui ili aonekane anajua saaana kuliko wengine....Lkn wanaojua wanamuona mjinga tu...Dada asante kwa kutuburudisha kwa Picha zenye mandhali nzuri nchini Angola.....Siyo kila kitu siasa na kupiga domo na ujuaji kimba tu
 
..Sawa Tumeona kijijini Sweden ulaya Lkn sisi tunaongelea Angola Afrika....au ulitaka tujue unaishi Sweden Ulaya...Haya basi tumejua!
Niko Manzese, humu kuna ID fake sasa nitatakaje wakati ID yangu ni fake. Think deep
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kaenda Ku google GDP soon ataleta picha wa aangola wamekula nin jana mana waswahili kwa Umbea ni balaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kaenda Ku google GDP soon ataleta picha wa aangola wamekula nin jana mana waswahili kwa Umbea ni balaa.
...Eti kila kitu Siasa tu!!
 
Panavutia

Ngoja nipneshe nia ya kwenda huko.. nione kama kuna mkaka humu JF atanipa zawadi niende nikajilie raha na anipe ofa niende na shosti mmoja ili tufurahie..

Eeeeeeh

Kama huna cha kutolea baraka pita hukoooo

Mimi ninacho cha kutolea baraka nipite where?
 
..Sawa Tumeona kijijini Sweden ulaya Lkn sisi tunaongelea Angola Afrika....au ulitaka tujue unaishi Sweden Ulaya...Haya basi tumejua!
Hahaha... mbona unajihami saana comrade?
 
kigoma ujiji ni nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…