Gs-300
JF-Expert Member
- May 2, 2014
- 446
- 573
Sharif,
Bwa bayana kama hii,
Mimi nadhani mtu wa kwanza kupanga FOLENI KUNAKO MALIWATO NI HUYU MSAMBAA Nguruvi3...
Teh teh teh
Hebu mpatie kata ya kujitawazia kabla hajachafua hali ya hewa
Niwia radhi Kakangu,
Narakabisha kiduchu...Professor Nguruvi3 ni Mbondei wa Kicheba!
Tafadhali kifurusika, basi watake radhi ndugu zetu wa Kisambaa kwa kuwanasibisha na huyo Nguru wa Kicheba!
Ahsanta sana.