Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides


OOhh Professor Hirji you are here? Never knew.
 

Si kweli, hakuna chuo cha Kiislam Morogoro, kuna chuo cha Waislam Morogoro. Kumbuka hilo, ni Muslim University of Morogoro na si "Islamic" University of Morogoro. Hata kifupi chake ni MUM na si IUM.

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 

Kumbe inakuuma kwamba wahusika na wapigania uhuru hawa walioandikwa ni wazee wake??

au kinachokuuma nini hasa??

kwan huu sio ukweli?

teh teh teh
 

Professor anapojibu "Paper" iliyoenda shule kwa "hypothetical" data, halafu bado tunashangilia.

Professor Hirji kukiri tu kuwa hizo ni "hypothetical...Data..." ni kuwa amekiri kuwa data zake ni za ni kufikirika, jee na hao "Four people interpreted the data." ni akina nani zaidi ya wakufikirika?

Ikiwa hawa ndiyo ma Professor wetu hao wanafunzi sijui wakoje?

Sasa nnaamini kabisa kuwa wanafunzi wa Professor kama huyu wanakwenda kusomea ujinga.
 

Data alizoweka Professor Hirji alizokiri kuwa ni "hypothetical" ni za kweli? Unanchekesha.

Kitwana Kondo amesema anayo ripoti na ameyasemaa hayo bungeni na hakuambiwa bungeni alete ushahidi na bungeni bungeni ni nani asiyejuwa kuwa ukisema uongo unaambiwa amma ufute kauli yako amma ulete ushahidi na ukishindwa kuuleta ushahidi unaadhibiwa kwa kanuni zao. Sasa wewe unaepinga hayo ya Kitwana Kondo, tuoneshe ni wapi bungeni aliambiwa kuwa hayo si ya kweli, migalatia iliyojaa pale ingemwacha? Fikiri japo kiduchu.
 

FF,
Baada ya hizi "Alice in Wonderland" data za Prof. Hirji mimi nikaweka
data zilizosomwa na Mzee Kondo ndani ya Bunge la Tanzania kuonyesha
dhulma tufanyiwayo Waislam hawa jamaa hawazitaki.

Hizi hapa chini:

"Lakini tuende kielimu. Ninayo ripoti ya mwaka huu. Waliofanya mtihani wa
darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71 Waislamu. Asilimia 29 ni
wengine. Walioshinda katika wale asilimia 71 ni asilimia 21. Katika wale 29
walioshinda tena sema mwenyewe. Katika asilimia 29 waliokwenda shuleni
ni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliokwenda darasa la tisa ni asilimia 21.



Sasa kuna moja, ama Waislamu wajinga ama akili yao haifanyi kazi, ama
mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu, ama kuna kitu. Sasa namwomba Waziri
anayehusika, anaposema aseme ya kwamba kwa hali ilivyo Waislamu
wameumbwa wajinga. Au kwa hali ilivyo kuna sababu kadha, kadha. Mwalimu
Nyerere alisema zamani ifanywe bidii ya kuwanyanyua waliokuwa chini. Sasa
bidii hii siyo ya kuwanyanyua waliokuwa chini. Bidii hii ni ya kuwakandamiza
waliokuwa chini."

Badala ya kujadili mambo yanayowagawa Watanzania kama haya jamaa wanataka
tujadili lini Nyerere kaja Dar es Salaam na hata nikiwashauri wafungue uzi mpya wa
mada hiyo mie In Sha Allah ntakuja hawataki. Wanang'ang'ania mjibu Prof. Hirji, mjibu
Prof. Hirji...

Mie hao maprofesa kila siku najibishananao tena uso kwa uso...
Labda wao ndiyo wageninao.


Mimi na Prof. Michael Lofchie US​
 
Mzee Mwanakijiji ni chakubimbi tuh

Mfia dini asie na mbele wala nyuma

KITABU CHAKE CHA RIWAYA ZA MAPENZ KILA NIKIPITA PALE MLIMAN CITY NAKIONA KIPO KINAENDEKEA KUDODA TUH

ANASHINDWA HATA NA ERICK SHIGONGO??

TEH TEH TEH

HATARI SANA

SASA MZEE KAMA HUYU ANASHINDA KUANDIKA RIWAYA ZA KUISIFIA NGONO AU ZINAA ANA AKILI TIMAMU KWELI??

BUSARA ZAKE ZIKO WAPI SASA

:lol: :lol:
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha

hatari sana

nchi hii imefikishwa hapa ilipo na wasomi kama hawa
 
There is nothing resembling an opportunist in what Prof. Hirji has written. The facts are so obvious for anybody to see. We better agree not to agree on that!

You dare call "Hypothetical...Data" "The fact"?

Pity.
 
Shukran sana kwa Bayana hiyo Mkuu.
 
You dare call "Hypothetical...Data" "The fact"?

Pity.

The facts are not referring to the hypothetical data, rather various examples the Prof. has given. The omission of heroes is not a Tanzanian phenomenon. It seems to have affected a good number of countries.
 
Unataka tuwasome watu wanao taka kutumia dini ya kiislamu kuficha udhaifu wao na kutafuta utukufu? Kitwana Kondo ni mmoja wa trustees wa Morogoro Muslim University mbona chuo kinawafia mikononi? Achana na wendawazimu wako wa kuwagawa Watanzania.

Kinaitwa Muslim University of Morogoro MUM.

Chuo kinakufa? thats a wishful thinking.

Kila mwaka MUM kinatoa wanafunzi bora katika fani zao na faculty zimeongezwa unasema kinakufa? amma kweli akumulikae mchana usiku atakuchoma.
 
Wafuasi wa Mohamed Said wapo kwenye DENIAL.
Hawataki kukubali kuwa alichowaaminisha, kilikuwa well calculated ili kuhamasisha chuki ya waislam kwa wasio waislam, na kwamba simulizi zake sio "whole truth". Moh Said alikuwa na conclusions zake kwanza, halafu akatafutiza data za ku-support conclusions zake. Mtafiti yeyote anayetumia approach hii, mara nyingi, ata-ignore data ambazo haziendani na conclusions zake na hatazi-present. Unfortunately, hata baadhi ya anachoita ni data (zinazosupport mtazamo wake) ni stories za kufikirika tu.
 
The facts are not referring to the hypothetical data, rather various examples the Prof. has given. The omission of heroes is not a Tanzanian phenomenon. It seems to have affected a good number of countries.

Good, so the "hypothetical...Data..." is now no longer valid.

And when, as says you, he has "...given. The omission of heroes is not a Tanzanian phenomenon" did he mention those who pointed out about about the forgotten heroes or not?

Just to remind you: Shortcomings of officially sanctioned US history are amply documented in works such as Howard Zinn, A People's History of the United States, and James W Loewen, Lies My Teacher Told Me: Everything Your American History Textbook Got Wrong. Heroes who contributed significantly to the making of the nation are omitted or placed in a tiny footnote. Trade unionist, left wing, African American, Latino and Native American heroes in particular tend to suffer the silent treatment."

What does that mean to you? None has written about the forgotten heroes?

 
hadi sasa hajajibu hoja zaidi ya kuweka malalamiko zaidi! Mara Mwembechai, mara Kitwana Kondo, namsubiri tu

Hoja ipi ya kujibiwa? Hirji ka criticize, kaulizwa maswali mawili tu, hajajibu mpaka sasa au wakala wake KVM hajajibu, kakwepa.

Mimi binafsi nimeonesha mapungufu ya maandiko ya Hirji ambayo hakuna aliyekuja na jibu, kuna mmoja tu kaja kasema hizo data kweli za kufikirika. Unajuwa hiyo maana yake nini kisomi? maana yake criticism ya Hirji yote inafaa itupwe kwenye garbage bin.

Lakini ili tuwape wengi faida na darsa, tutauendeleza mnakasha tartiiiiibu tuwape darsa, nnauhakika wengi wenu mtafaidika, maana mnaonesha kuwa wengi wenu hamko katika kiwango cha usomi wa kuweza kukabiliana na minakasha ya kisomi na hii ni fursa yenu kujipatia mawili matatu.

Professor Hirji, kwa kushindwa kuelewa tu Mau Mau na Wajerumani ni kama mbingu na ardhi na akaandika hivyo katika hizi pumba zake anaonesha kuwa ni Professor bogus (with all due respect).

Na hilo la kukiri kwake kuwa ana criticize kwa kutumia "hypothetical... data..." ndiyo kama nilivyokueleza awali, na laiti ingalikuwa kaileta hii criticism kwenye jopo la wasomi na kuna Mwenyekiti, Mwenyekiti tayari angeshamwambia "shut up, seat down and listen to other scholars".

Nawahurumia sana wanafunzi wanaofundwa na "Professor" kama huyu Hirji, hakuna zaidi bali wanajazwa ujinga tu.
 

Nanren,
Mimi naheshimu mawazo yako kwa niliyoandika lakini usiishie hapo sogea
mbele zaidi.

Jikusanyeni muandike "ukweli."

Hebu ingia hapa:
TRACING THE FOOTSTEPS OF MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE The Early Years in Dar es Salaam of 1950s - Mohamed Said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…