Professor anapojibu "Paper" iliyoenda shule kwa "hypothetical" data, halafu bado tunashangilia.
Professor Hirji kukiri tu kuwa hizo ni "hypothetical...Data..." ni kuwa amekiri kuwa data zake ni za ni kufikirika, jee na hao "Four people interpreted the data." ni akina nani zaidi ya wakufikirika?
Ikiwa hawa ndiyo ma Professor wetu hao wanafunzi sijui wakoje?
Sasa nnaamini kabisa kuwa wanafunzi wa Professor kama huyu wanakwenda kusomea ujinga.
Tupo hapa kwa kujadili data za kufikirika!!! kweli?! This is a shame. Yaani Great thinkers wanaumiza vichwa vyao kwa
kujadili data za kufikirika!!! In fact, Hii paper haina viwango vya kujadiliwa hapa. Natamani nimuone huyu Prof. MSHIA
amekaaaje kaaje. Wito wangu kwako Prof. kama upo hapa, paper yako haina ukweli ni ya kufikirikafikirika tu. mapenzi
yako kwa Nyerere Mfia dini usitulazimishe na sisi. Hatutaki kuwa na mapenzi kwa mtu aliyetudhulumu kwa miaka 27
ya uongozi wake. Nyie maretired professors mna matatizo sana.