Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 22,459
- 32,983
Nyakageni,nawe pia nakuuliza, kwa nini wakatae vitabu vyako? Sina hakika na MUM ambako mkuu ana mentality kama yako
Nimekujibu kuwa hilo swali unalileta sipo.
Hao wanaokataa kitabu changu ndiyo wa kuulizwa.
Mimi ninachoweza kukueleza ni kuwa kitabu changu kilipochapwa London
mwaka 1998 kilifanyiwa pitio na John Iliffe wa University of Cambridge na
kikapata heshima ya kutiwa kwenye Cambridge Journal of African History.
Hili ni journal linaloheshimiwa dunia nzima.
James Brenan wa London School of Oriental and African Studies na yeye
akafanya pitio na nikaingia tena kwenye journal lao na Jonathon Glassman
wa Nortwestern University na yeye akafanya pition na nikaingia tena kwenye
journal na kwingi nikawa maarufu.
Alhamdulilah.
Ni hayo tu.