Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 605
Mpaka U-miss wanashiriki!!Allshabab nao wanaendaga bichi?si wanasemaga ni umangaribi?
Kongosho sio kuwa wanapenda ni maagizo ya MTUME, amri!Kwa kweli wanawake wa kiarabu kwa kufunika miili hawajambo. Kuna mmoja nilimuona siku moja anaogelea na full baibui afu kajitenga peke yake, na anafurahia kabisa. Nilimu-admire kwa kweli.
Kwani ni lazima kwenda beach na vichu.pi?
Hata wafunike vipi tunawatafuna tu...