Wadau wa JF wakazi wa Dar
Nisaidien jaman, nataka kujua beach gan kwa dar n nzuri kuliko zote, toka nizaliwe nimekua sina interest na kwenda Beach, so nimejikia kutaman sana bahada ya mke wangu kuniomba cku nying kwenda nae beach, nataka nmfanyie suprice J2, nishaurin niende beach gan ili tukahave much fun,
Thanks in advance
Kama unataka to have fun, all alone with your wife, njoo beach iliyo karibu na kijijini kwetu, inaitwa Boza Beach, hakuna hoteli hapo, hakuna watu kupita pita hovyo, hakuna majumba karibu, its safe, quite and secluded for now. Carry your picnic gear. Uta enjoy sana.
Its around 65KM from Dar.
Ni moja katika beach nzuri sana Tanzania.
Wadau wa JF wakazi wa Dar
Nisaidien jaman, nataka kujua beach gan kwa dar n nzuri kuliko zote, toka nizaliwe nimekua sina interest na kwenda Beach, so nimejikia kutaman sana bahada ya mke wangu kuniomba cku nying kwenda nae beach, nataka nmfanyie suprice J2, nishaurin niende beach gan ili tukahave much fun,
Thanks in advance
kumbe wewe watoka huko? unamjuwa mwalimu singano weye? umenikumbusha kuwatembelea washkaji zangu wa kimanga pangani na kina clement bazo.
South beach kigamboni
Ewe punguani, Pangani ni 65KM kutoka Dar.? Soma vizuri kabla hujakurupuka.
Hii mijitu mingine sijui ikoje! halafu atakwambia anaishi Dar., hata Boza Beach, haijui, huko wakuja hawapajui. Kumbuka hilo.
kwi kwi kwi jina limenivutia iko wapi hii
ewe kibibi kizee boza beach iko wapi? au ni kama Beach kidimbwi ya Sinza?
Kama unataka to have fun, all alone with your wife, njoo beach iliyo karibu na kijijini kwetu, inaitwa Boza Beach, hakuna hoteli hapo, hakuna watu kupita pita hovyo, hakuna majumba karibu, its safe, quite and secluded for now. Carry your picnic gear. Uta enjoy sana.
Its around 65KM from Dar.
Ni moja katika beach nzuri sana Tanzania.
Haaaaaa, ilo pia wazo, ka vip j2 twende nkapate na ujuz wa beach, afu wife ntamsuprise next tim
Wakuja hampajui na siwaambii sasa. Kwanza nyie mtakwenda kunanihii nanihii hovyo huko.
Nimegushu.
Km 65? Si siku nzima kusafiri?
Nenda bongoyo island boti unapandia slpway.utaenjoy inawhitesand ya ukwel n then wanaokwenda huko hakuna mbabaishaji na sehem tulivu kwa utalii wa ndani
Nilijua upo single, ningekupeleka nikuonyeshe beach nzur...
Asa tukinanii we itakuuma nn ? Muda wako ulishapitaga bibi , tema code vijana tukajiachie