Beach gani nzuri jamani Dar-es-salaam

Beach gani nzuri jamani Dar-es-salaam

hillman

Senior Member
Joined
May 28, 2014
Posts
159
Reaction score
45
Wadau wa JF wakazi wa Dar

Nisaidien jamani, nataka kujua beach gani kwa Dar n nzuri kuliko zote, toka nizaliwe nimekua sina interest na kwenda Beach,

So nimejikia kutaman sana bahada ya mke wangu kuniomba cku nying kwenda nae beach,

Nataka nmfanyie suprice J2, nishaurin niende beach gan ili tukahave much fun,

Thanks in advance
 
Wadau wa JF wakazi wa Dar

Nisaidien jaman, nataka kujua beach gan kwa dar n nzuri kuliko zote, toka nizaliwe nimekua sina interest na kwenda Beach, so nimejikia kutaman sana bahada ya mke wangu kuniomba cku nying kwenda nae beach, nataka nmfanyie suprice J2, nishaurin niende beach gan ili tukahave much fun,

Thanks in advance
Nilijua upo single, ningekupeleka nikuonyeshe beach nzur...
 
aaannnaahaaahh!!!!!!!! cant u find a nice one ,,within ur wife,, au ndo maji machaafuuuuuuuu
 
mmh kwa beach gani nzuri kwa dar mi naona protea ni nzuri, changani beach naipenda kwa kuwa ipo karibu na horse club hvy waweza ku have fun kwa kupanda farasi
 
navy beach kwa wajeda..ng'onda beach.mikadi beach na chadibwa zote zipo kigamboninoooo...kama kipato chako kinaruhusu nenda sun rise.kijiji beach..kipepeo..n.k....
 
Kama unataka to have fun, all alone with your wife, njoo beach iliyo karibu na kijijini kwetu, inaitwa Boza Beach, hakuna hoteli hapo, hakuna watu kupita pita hovyo, hakuna majumba karibu, its safe, quite and secluded for now. Carry your picnic gear. Uta enjoy sana.

Its around 65KM from Dar.

Ni moja katika beach nzuri sana Tanzania.
 
navy beach kwa wajeda..ng'onda beach.mikadi beach na chadibwa zote zipo kigamboninoooo...kama kipato chako kinaruhusu nenda sun rise.kijiji beach..kipepeo..n.k....

chadibwa mmh pale hapana bhana hata ng'onda mmh, yeye kasema beach nzuri dar, mikadi naypo duh!! navy akienda atapata ulinzi tuuila kwa kuchezea hata maji hapaja kaa poa huwezi hata kulala mchangani, sunrise,kijiji beach, kipepeo,south beach, na zinazoendelea huko mbele hizo ndizo zaukweli
 
Back
Top Bottom