PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,092
- 29,857
Yapata miezi 3 sasa nimekuwa nafatilia bei za magari hasa mitandaoni pamoja na kwenye yards mbalimbali ili kujua uhalisia wa bei.
Kitu ambacho kimenishangaza kidogo mitandaoni ni namna bei zake zilivyokuwa cheap,mwezi iliopita nilienda yard moja pale manyanya kinondoni ili kujua tu bei ya athletes crown nikaambiwa ni tsh milioni 18 hadi 22.
Baada ya kuingia online kucheki bei zao hasa kwenye site ya BE FORWARD nimekuta bei za crown ni USD 1500,1700,1900 hapa nilishangaa hizi bei nikajiuliza inakuaje haya magari kwenye yards yanauzwa bei ya kufa mtu? Kwa wale wenye uzoefu wa manunuzi ya online kuanzia magari na vitu vingine watanisaidia juu ya hizi bei je zipo sahihi?
Ukiachilia mbali ushuru bandarini pamoja na tra inakuaje gari hizi kwenye yards zetu zinapigwa sana bei ya juu?je magari haya kwenye mitandao yanauzwa bei chee kwasababu ya mileage kubwa?
Kitu ambacho kimenishangaza kidogo mitandaoni ni namna bei zake zilivyokuwa cheap,mwezi iliopita nilienda yard moja pale manyanya kinondoni ili kujua tu bei ya athletes crown nikaambiwa ni tsh milioni 18 hadi 22.
Baada ya kuingia online kucheki bei zao hasa kwenye site ya BE FORWARD nimekuta bei za crown ni USD 1500,1700,1900 hapa nilishangaa hizi bei nikajiuliza inakuaje haya magari kwenye yards yanauzwa bei ya kufa mtu? Kwa wale wenye uzoefu wa manunuzi ya online kuanzia magari na vitu vingine watanisaidia juu ya hizi bei je zipo sahihi?
Ukiachilia mbali ushuru bandarini pamoja na tra inakuaje gari hizi kwenye yards zetu zinapigwa sana bei ya juu?je magari haya kwenye mitandao yanauzwa bei chee kwasababu ya mileage kubwa?