mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Sawa mkuu wangu.Nimeona mabadiliko. Kipindi cha nyuma walikuwa wanaonesha FOB pekee. Imebidi niangalie tena naona sasa wanaonesha vyote.
Sawa mkuu wangu.Nimeona mabadiliko. Kipindi cha nyuma walikuwa wanaonesha FOB pekee. Imebidi niangalie tena naona sasa wanaonesha vyote.
Hio ni kweli.
Ingia google andika Tra calculator itakuja boss.
Mmh! Kuna jamaa aliangiza gari kupitia Bforward ilivyofika bandarin kakuta jamaa wamechomoa Redio na Spika zake.Nimeona afadhali kuagiza gari kutoka nje kuliko kwenda kwenye yard.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini sasa, ni njia ipi nzuri katika ununuzi wa gari!?Mmh! Kuna jamaa aliangiza gari kupitia Bforward ilivyofika bandarin kakuta jamaa wamechomoa Redio na Spika zake.
Ishu ya kuagiza online sometime ni risk kubwa sana
Wacha uongo ww,Au ni mmojawapo wa wenye yard hapo mjini?....hiyo USD 1500 sio CIF (cost, insurance and freight) bali ni bei ya gari pekee (cost). CIF itakua juu inaweza kufika hata mara mbili ya hiyo cost, na TRA ndio wanayoitumia kukokotoa kodi.
kwa uandishi huu mtoto wa kiume inasikitisha.Vp mkuu hii calculator inatoa bei halisi?
Mfano gar nje nmeinunua million 3 had kufika hapa. Then tra calculator ikaonyesha million 5... Ko jumla ya gharama ya gar had mm naimilik inakuwa mill 8 au co???
Hivi huu wizi wa kuchomoa vitu upo? Risk ni ya nani sasa. Niagize gari ije taa hazipo na n.k wakati wa ku clear nani atakuwa responsible na hizo damageMmh! Kuna jamaa aliangiza gari kupitia Bforward ilivyofika bandarin kakuta jamaa wamechomoa Redio na Spika zake.
Ishu ya kuagiza online sometime ni risk kubwa sana
Wizi bandarini haupo. Wizi unafanyika gari ikishatolewa bandarini.Hivi huu wizi wa kuchomoa vitu upo? Risk ni ya nani sasa. Niagize gari ije taa hazipo na n.k wakati wa ku clear nani atakuwa responsible na hizo damage
Sent using Jamii Forums mobile app