Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 346
Hivi kwa maono yako kuna serikali ya kuwasaidia hawa watoto? Nani awapeleke shule? Hata marekani haijaweza na ndiyo maana inao wasiojua kusoma wala kuandika. Kama kujifungua tu hatuwezi kugharimia, hiyo shule na chakula serikali itaweza? Wale watoto wanatafuta kuishi. Hawawezi kufia ndani ilhalu kuna kuchakuachakua mchanga ili wapate kula.
MKUU WW NAHISI NI MFUATILIAJI WA HABARI NA SERA MBALI MBALI, SASA UNATAKA WAO NDO WAJE KUSIMAMIA HIZO SERA ZAO KWETU? NA KWA UFUATILIAJI WAKO KAMA MWANDISHI KWAO UMEONA WATOTO WANAJIHUSISHA NA CHILD LABOUR COZ OF POLICY INITIATORS? TUNATAKIWA KUUNGANA NA HAWA JAMAA ILI WATU WETU WALIOPEWA DHAMANA WATIMIZE WAJIBU WAO KWA MAZINGIRA YA KIAFRIKA HUSUSANI KITANZANIA, SIYO NYIE WENYE FURSA YA KUSEMA KUPITIA MEDIA AVENUE NYINGI MNAANZA KUSUPPORT WATENDAJI KWA KUPUZIA MAADILI YAO. MFANO KUNA ILO CONVENTIONS KIBAO AMBAZO TZ NI NCHI MWANACHAMA LZM UJUE WASIPOKUPO WATU WENYE ETHICS ZA KFANYA FOLLOW UP KWA MEMBER STATES NA KURIPOTI KWA MAPUNGUFU LZM UFAHAM HT HIYO MKATABA HAINA MAANA KBS! SASA WW NAKUSIHI NENDA WIZARA HUSIKA, ILO, NGOs NK UHOJI NDO UTULETEE HABARI MAPEMA. NAKUSIHI HABARI II NI SERIOUS NA WENGI TUNAKUBLIANA NA BBC REPORT HIVYO USIIKIMBIZE JAMHUR J4 KWA MTAZAMO ULIONAO WEWE. MFANO ANZISHA HATA THREAD HUMU JE KUNA AJIRA ZA WATOTO MIGODN TZ? COMMENT ZA WCHANGIAJI UTAPIMA MWENYEWE NA COMPARE NA BBC FINDINGS NA UR PERSONAL PERCEPTION, UTAONA UPI UKWELI.[/QUOTE
mkuu NATTAWITTO naona umeona iko haja ya kumpa darasa Manyerere,,naona ni mhariri incompetent kabisa,sijui mnawezaje kufwatilia makala zake.
Hivi wewe ni journalist wa aina gani?hata common sense huna? Sasa kama kuna child labour mererani isesemwe? We Ulienda mererani ukakuta hakuna watoto?huu ukanjanja hadi lini?
mMKUU WW NAHISI NI MFUATILIAJI WA HABARI NA SERA MBALI MBALI, SASA UNATAKA WAO NDO WAJE KUSIMAMIA HIZO SERA ZAO KWETU? NA KWA UFUATILIAJI WAKO KAMA MWANDISHI KWAO UMEONA WATOTO WANAJIHUSISHA NA CHILD LABOUR COZ OF POLICY INITIATORS? TUNATAKIWA KUUNGANA NA HAWA JAMAA ILI WATU WETU WALIOPEWA DHAMANA WATIMIZE WAJIBU WAO KWA MAZINGIRA YA KIAFRIKA HUSUSANI KITANZANIA, SIYO NYIE WENYE FURSA YA KUSEMA KUPITIA MEDIA AVENUE NYINGI MNAANZA KUSUPPORT WATENDAJI KWA KUPUZIA MAADILI YAO. MFANO KUNA ILO CONVENTIONS KIBAO AMBAZO TZ NI NCHI MWANACHAMA LZM UJUE WASIPOKUPO WATU WENYE ETHICS ZA KFANYA FOLLOW UP KWA MEMBER STATES NA KURIPOTI KWA MAPUNGUFU LZM UFAHAM HT HIYO MKATABA HAINA MAANA KBS! SASA WW NAKUSIHI NENDA WIZARA HUSIKA, ILO, NGOs NK UHOJI NDO UTULETEE HABARI MAPEMA. NAKUSIHI HABARI II NI SERIOUS NA WENGI TUNAKUBLIANA NA BBC REPORT HIVYO USIIKIMBIZE JAMHUR J4 KWA MTAZAMO ULIONAO WEWE. MFANO ANZISHA HATA THREAD HUMU JE KUNA AJIRA ZA WATOTO MIGODN TZ? COMMENT ZA WCHANGIAJI UTAPIMA MWENYEWE NA COMPARE NA BBC FINDINGS NA UR PERSONAL PERCEPTION, UTAONA UPI UKWELI.[/QUOTE
mkuu NATTAWITTO naona umeona iko haja ya kumpa darasa Manyerere,,naona ni mhariri incompetent kabisa,sijui mnawezaje kufwatilia makala zake.
Mm ni mfanyakazi ktk migodi ya tanzanite, naweza kusema ukweli uliopo kwa kipindi cha nyuma ndio watoto walikupo kuanzia 2005 kushuka chin lakin 2005 kuja 2014 watoto hawapo kwahy basi tuangalie hiyo habari ni ya kipindi gani? Kwasabb ktk maisha tunayo ishi watu wengi wanao kuja kuchimba madini ni watu masikini sana(fukara) kutoka family tunazotoka ni zile hata mlo mala 1 kwa kutwa ni shida wengi wao tunadumaa kwa kukosa lishe bora ndio maana tunaonekama ni watoto. Kwasabb hii kazi ni ngumu sana mtoto hawezi kuifaya maana hata watu wazima ambao ni legelege hawawezi wanakimbia. Iweje mtoto aweze? Na je? Kuna mtoto anaemiliki mali za kutafuta mwenyewe?
Thanx sana kaka.....blame-game inataka kuwa na makazi ya kudumu miongoni mwetu...hii attitude yako ndio sahihi kwa nchi hii tulipofikia!!!!
Baada ya kufanikiwa kwenye pembe za ndovu, BBC wametukung'uta tena. Safari hii ni kwenye madini ya tanzanite. Wanadai tanzanite inachimbwa na watoto. Wameweka video ya "the gemstone mined by child labour". Huu utakuwa ni mkakati wa makaburu wa tanzaniteone ambao mara zote wameutangazia ulimwengu kuwa tanzanite yao pekee ndiyo halali maana haichimbwi na watoto. Hili ni pigo jingine kwa ndugu zetu wanaotegemea tanzanite kuendesha maisha yao.
===================================
Chanzo;bbc
m
Mm ni mfanyakazi ktk migodi ya tanzanite, naweza kusema ukweli uliopo kwa kipindi cha nyuma ndio watoto walikupo kuanzia 2005 kushuka chin lakin 2005 kuja 2014 watoto hawapo kwahy basi tuangalie hiyo habari ni ya kipindi gani? Kwasabb ktk maisha tunayo ishi watu wengi wanao kuja kuchimba madini ni watu masikini sana(fukara) kutoka family tunazotoka ni zile hata mlo mala 1 kwa kutwa ni shida wengi wao tunadumaa kwa kukosa lishe bora ndio maana tunaonekama ni watoto. Kwasabb hii kazi ni ngumu sana mtoto hawezi kuifaya maana hata watu wazima ambao ni legelege hawawezi wanakimbia. Iweje mtoto aweze? Na je? Kuna mtoto anaemiliki mali za kutafuta mwenyewe?
huenda usemacho kina logic lakin,wale walohojiwa jana ni watoto,jaman tusianze LABDA LABDA hapa,tatizo lipo
Manyerere wacha kuwadanganya watanzania wenzako hili swala la child labour kwenye machimbo ya tanzanite (mererani) lipo tena ni la muda mrefu BBC wapo sahihi .
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Na pia kwa kipindi 2005 kurudi chi migodi ilikuwa haijaenda mbali lakini leo hii migodi inafikia km 1 na mt 400 kwenda chini mtoto hata weza hy kazi. Kwa kipindi cha nyuma napo watoto walikuwa hawafanyi kazi wao walikuwa ni kutumwa kutoa taarifa tu na vitu vidodog kulingana na umri wao. (Ngoma ya watoto haikeshi) mtoto hawezi (kusomoa) kutoa kiroba masaa 24 ni kitu ambacho hakiwezekani
huenda usemacho kina logic lakin,wale walohojiwa jana ni watoto,jaman tusianze LABDA LABDA hapa,tatizo lipo
Sikiliza mtu akitaka kukuchafua atakuchafua tu, mm niko hapa merelani kwa zaidi ya miaka 12 kwa maisha ya hapa kuna mji na wakazi wanafamily zao kutoka kwenye mji mpka hapa migodini kuna km 4 na kipindi hiki shule zimefungwa, kwa hy kununua watoto na kuwavalisha nguo chafu na kuwahoji sio kazi isitoshe watoto wa hapa merelani wanapenda pesa vibaya sana,.na kingine nataka niwaambie msicho kijua hakuanaga mtoto aliezaliwa hapa merelani anazama migodini,. Ule msemounaosema kwenye miti hakuna wajenzi unakamilika hapa, kama kuna mtu anaweza kufanya uchunguzi au kutembelea aje atajionea mwenyewe. Na hata ktk 2005 kushuka chin watoto waliokuwepo hapa ni kutoka mikoa mingine na sio manyara wala arusha watoto wa hapa hawataki kazi hii hata watu wazima walio zaliwa hapa hawafanyi kazi hii hawaitaki hata kuisikia
jana wameripot yapo mashimo ya mita zaid ya mia kwenda chin na watoto wanazama