MIDFIELD
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,944
- 701
Mimi nilivyomuelewa hapendi kusikia habari za Uislamu huyu. Anaona kero kusikia habari hizoBado hajaeleweka hasa anakusudia nini!.Anatakiwa afunguke!.
Mimi nilivyomuelewa hapendi kusikia habari za Uislamu huyu. Anaona kero kusikia habari hizoBado hajaeleweka hasa anakusudia nini!.Anatakiwa afunguke!.
Mwisho wako utakua mbaya sana hapa duniani,ndivyo mnavyo fundishwa hivyo au?Kama yesu alivyo mpumbav na pia shoga akilalwa na wanafunzi wake akina yohana.?
Wewe mwisho wako utakua mzuri eeh?.au utapaa kama eliya?.Mwisho wako utakua mbaya sana hapa duniani,ndivyo mnavyo fundishwa hivyo au?
Muelewe vizuri mtoa mada,anachokusudia ni kwamba kuna mengi yapo tena mabaya mbona hayatangazwi sana na BBC
1.maaskofu mashoga,
2.watoto kubakwa na makasisi makanisani.
3.mapadre na masista kufanyana madhabahuni n.k
Anaona yakitangazwa hayo huenda ahueni ikapatikana.
Hivo upo duniani tu unatukana kuliko shetani je ukifika kwenye pepo yenu mlioahidiwa wanawake ambapo masikini zaidi atakua na wanawake 40 itakuaje mkuu?, jehanamu haitojaa kabla alah hajaingiza miguu yake humo,kaa ufikiri tena kuhusu hii dini mkuu.Wewe mwisho wako utakua mzuri eeh?.au utapaa kama eliya?.
mi nimesema ukweli mtupu,jesus was a gay,na kuna evidence kibao ndani ya bibilia,hamna haja ya kunilaumu mimi,walaumu waandishi wa bible japo wanajitahidi kuvibadili vifungu kuficha lakini ushahidi haupoteagi.
Hata siku moja na haitatokea chombo cha habari cha magharibi kikatangaza jambo jema la waislam...wakitangaza ni kuhusu ugaidi wakihusisha na uislam sasa huko ni kutupendelea kweli? Au kutuchukia? One thing is for sure uislam ulikuwepo na utakuwepo mtake msitake..
Mkuu tishio kwenye ugaidi ndo mnaufurahia?
Kila nikisikiliza BBC Swahili ninachosikia ni 80% ya habari zao zinahusu Uislam,Waislam na mambo yanaohusiana na imani hiyo.
Hii haijaanza jana wala majuzi lilipoibuka kundi la IS ila ni kuwa inaonekana wao hizo ndizo habari kipaumbele chao wanazotaka kulisha wasikilizaji wa idhahaa hiyo ya Kiswahili.
Swali langu hivi BBC Swahili hamuoni habari zaidi ya hizo kiasi cha kushehenesha 80% ya habari zenu kuhusiana na Uislam, Waislam na mambo yanayohusiana na dini hiyo?
Au ndio kusema nyie mmekuwa news outlet au kisemeo cha Waislam?
ninyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu,
Kwahiyo unataka kusema wanawala?.eti wale ambao wanachinjwa na kugeuzwa minofu na magaidi wa kiislamu miili yao hufanywa nini? Hupelekwa wapi maana hatuoni makaburi yao ama mnaaa.......... namashaka! ntaanza kuwaogopa