Hili tatizo limekua changamoto sijui kama kuna dawa za hospital zinazotibuBawasili imenikata nguvu za kiume kbsa msaada aliepona
Inawezekana kupona kwanza anza kubadirisha mlo wako unaokula itaacha yenyewe, bawasiri ni matokea ya mfumo wa Chakula kua na itilafu sababu ni kutokula chakula au vyakula vywenye nyuzi nyuzi kwa wingi, ingawa sababu zake ni nyingi Ila kwanza kabisa ukitaka upone acha kabisa kula vyakula vya ngano mfano maandazi, chapati, nk chochote kilichopikwa kwa ngano kaa nacho mbali utaanza kupata nafuuBawasili imenikata nguvu za kiume kbsa msaada aliepona
Dawa ni kubadiri mfumo wa Chakula unapona bila dawa za hospitalHili tatizo limekua changamoto sijui kama kuna dawa za hospital zinazotibu
Hospital labda ni operation tyuuh, na pia huwa inarudi tenaaa. Dawa za mitishambaa ndo zinatibu kweliii.Hili tatizo limekua changamoto sijui kama kuna dawa za hospital zinazotibu
Huyo sio dr mapande kweli? Maana nae ana dawa nzuri sana inayotibu bawasiriKama utakua tayari, kuna dokta alimsaidia mdogo wangu, sina uhusiano nae wala simpigii debe, kama utataka kujaribu nambie nikutumie namba yuko dar
NB, anatumia dawa za kisuna
0747933658 Mungu akufanyie wepesi uponeNipe namba zake
Mi hata jina simjui, alitibu watu kama watatu ninaowafahamu, ila yuko maeneo ya Tabata TabataHuyo sio dr mapande kweli? Maana nae ana dawa nzuri sana inayotibu bawasiri
Mlijuaje kama hana nguvu za kiume aliwaambia au 🤔Kuna mshikaji hapa mtaani anaitwa Ally aliumwa huo ugonjwa na akakosa nguvu za kiume kama mtoa mada na sasa hivi tunamuita Halima 😂
Hapana, ila kama huwezi kusimamia show ww huna maana tena 😂Kawa shoga?
Kuna habari zako flan ambazo ni rahisi sana kujulikana kuliko taarifa zako zingine zoteMlijuaje kama hana nguvu za kiume aliwaambia au 🤔