BAVICHA watoa tamko kuhusu maandamano

BAVICHA watoa tamko kuhusu maandamano

Hahahaha hata hao jamaa wa chadema ni maboya .m2 wenye akili hawezi kuacha mishe za ku make money,halafu ukashabukie ujinga wa wa wa2 wenye akili nusu,cha muhimu kila m2 anatakiwa awe akili ya kujiongeza,kuna m2 fisadi kama mbowe,amkeni tuongezee Juhudi za kusaka hela mjini

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Acha kupotosha, umesikia mtu analazimishwa kwenda kwenye maandamano. Ukiona unajisikia kwenda nenda kama unashughuli zako hakuna anayekulazimisha. Au ndugu yetu wewe hulipi kodi kwahiyo huna uchungu na hela zetu kwa katiba ya kitapeli?
 
Utawala wa kiimla ulipitwa na wakati,tabia hii ya mkono wa chuma,itawarudi
 
Haka kakenge eti kanaionya polisi. Siasa za bongo ni kituko.
 
Sisi tunaotaka mabadiliko tutatangulia ila wale wasiopenda mabadiliko na wanaofaidika na ufisadi wa ccm hawawezi kuwa mstari wa mbele kudai haki

Mumepewa VITI MAALUMU BUNGENI mumegawa mpaka NYUMBA NDOGO vimewashinda,Mumepewa RUDHUKU imewashinda,Sasa munataka IKULU!!!Pengine ya TENGERU sio MAGOGONI.
 
na hivi tumepitia jkt naona mambo yataenda vizuri sana, pamoja kamanda naisubiri tarehe rasmi!
 
Wilaya ya Bahi tumeshawasilisha barua kwa OCD ya kutoa taarifa na maandamano yetu yatafanyika tarehe 18 na kuendelea
 
Kazi ya jeshi la polisi ni kulinda raia na mali zao na wala si jeshi la kupigana na raia. Polisi wanatakiwa watumie weredi tu. Maandamano na migomo ni haki ya kikatiba ya wananchi katika kuwasilisha sauti zao pale ambapo lugha za midomoni na kalamuni zimedunda. Polisi kuapigana na raia wema kwa maslahi yao binafisi ni kuvunja sheria. Wanatakiwa wawe walinzi wa amani ambao kazi yao ni kuhakikisha maandamano hayo yanafanyika kwa amani na usalama wa waandanaji na waandamaniwaji.

Nguvu ile ambayo wanapanga kuitumia kuua raia kwa sababu tu wanaandamana kwa amani, waitumie kuzuia uharifu wowote ambao intellingencia yao itawaambia. Hiyo ndiyo kazi yao. Vinginevyo, hawataweza kuuzima moto watakao uwasha kwa unyanyasaji na mwendelezo wa umwagaji damu za raia wema.

Wakumbuke kwamba wanaishi na kufanyia kazi kati kati ya raia. Wakumbuke kwamba wana ndugu zao wa damu ambao wanaishi uraiani na kwa vile ni maandamano ya nchi nzima, yamkini hao ndugu zao pia watakuwa miongoni mwa watakao uawa na polisi kwa vile hawatakuwa na nembo kama red cross kwamba hawa ni ndugu wa polisi.

Sioni askari yeyote atafurahia kulinda ccm huku akipoteza ndugu zake wote kwa mkono wa ccm hiyo hiyo. Sioni furaha yoyote wataipata Chagonja na mumiani wowote pale jeshi la polisi likiasi seriakali mikononi mwao. Wfahamu jeshi la leo siyo la zamani la utii kwanza akili baadaye.

Askari wa sasa wana reason na ni wasomi wanaoelewa. Na watakapochoka, ndipo uvamizi wa vituo na wizi wa sialaha magharani utashika kasi huku askari wengi waki resign ili kuepuka amri dharimu za kina chagonja ambazo zitawalazimisha kuua ndugu zao.

Chagonja, muda wa ubabe ukwisha. Tumia akili hata kama huna, azima kwa wasaidizi wako ambao wana akili na weledi kuliko wewe.

Nawe pia una matatizo ya uelewa.maandamano ya kupinga bunge la katiba ambalo lipo kihalali unategemea polisi wafanye nini dhiidi ya waandamanaji.kuwapigia mziki wa brassband au mkng'oto.hivi leo wananci wakiamua kuandamana kumtaka msajiliwa vyama afute chadema kwa sasbabu ni nishio la amani watakuwa na haki?
 
Ukawa kuwasha moto lazima mafisadi muhame nchi,serikali ni kitu kidogo sana pale wananchi wanapoamua
 
Dogo anatafuta atoke vipi asije kusokomezwa mijiti akaja kulalamika baadae manake hizi jazba wanazojitia kuna wengine nao wamepinda kama wao. Sasa yeye asitoe vitisho aingie barabarani kinuke tu, sie tuendelee kujaza thread kwa comments na like hapa JF.

Mwenyekiti wa baraza la vijana BAVICHA bw PATROBAS KATAMBI akizungumza na wanahabari muda huu hapa katika mkutano wa chadema unaoendelea
-Kufwatia jeshi la polisi Tanzania jana kupiga marufuku maandamano yaliyotangazwa kufanyika na chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA,umoja wa vijana wa chama hicho BAVICHA umeibuka na kusema kamwe hawatishiki na kauli ya jeshi hilo na wapo tayari kwa lolote.
---------
Akizungumza na wanahabari muda huu nje ya mkutano wa kamati kuu ya chama hicho mwenyekiti wa vijana taifa PATROBAS KATAMBI amesema kuwa kauli iliyotolewa na mwenyekiti wao sio kauli yake kwani ni kauli ya chama na wanachama wote hivyo polisi wasihangaike kumkamata mwenyekiti wao na badala yake wajiandae kulinda amani wakati wa maandamano- hayo.
---
“tumezoea kusikia kauli za vitisho vya jeshi la polisi wakati chadema inapotaka kufanya kitu cha kuwatetea wananchi wao,ila siku ccm ikitangaza kufanya maandamano ya amani huwezi kusikia kauli kama hizo,sasa tumechoka na mambo hayo na tupo tayari kwa lolote lile”amesema mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA
------
Aidha amesema kuwa ofisi yake imeitisha kikao cha dharura kwa ajili ya kupanga mikakati imara ya kuanza maandamano hayo ambapo amesema kuwa yatafanyika nchi nzima bila kikomohuku akisema -yataanza muda wowote kuanzia sasa.
 
Hahahaha hata hao jamaa wa chadema ni maboya .m2 wenye akili hawezi kuacha mishe za ku make money,halafu ukashabukie ujinga wa wa wa2 wenye akili nusu,cha muhimu kila m2 anatakiwa awe akili ya kujiongeza,kuna m2 fisadi kama mbowe,amkeni tuongezee Juhudi za kusaka hela mjini

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Uvivu wa kufikiri.Jiulize katika huko kusaka hela unalipa kodi inaenda wapi?kama hulipi inawezekana ni mmoja wao hao wauza aka poda.Tembelea Mwananyamala Hospital Temeke na Amana ingia wodi ya wazazi.kisha utoe jibu kodi yako unayolipa inaenda wapi.hakuna utakacho nunua kisicho na kodi.kuanzia kitunguu cha sh mia moja na kibaba cha mafuta ya kula.Je kodi inapotumiwa vibaya wewe unafanyaje? Hivi sh laki tatu ukienda SIDO kitanda cha kulalia mgonjwa kinatengenezwa na hela inabaki gharama ni kama laki mbili na ishirini Je kwa hela iliyotumika vingetengenezwa vingapi.majibu jipe mwenyewe.WANACHOFANYA NI KUKATAA MATUMIZI MABAYA YA KODI ZA WALALA HOI BILA SHAKA WE NI MMOJA WAO NDIO MAANA UNAASA WATU WAONGEZE JUHUDI KUTAFUTA HELA.Kwa kufikiri huko ni sawa na kujaza maji pakacha.HEBU NIJUZE KUWAPA WAKULIMA PEMBEJEO KWA MKOPO NA KUWAHIMIZA WAZALISHE KWA WINGI WATAPATA SOKO,WAMEZALISHA VYA KUTOSHA HALAFU UNAWAAMBIA ZIADA UTATAFUTA SOKO HUNA FEDHA ZA KUNUNUA NAFAKA ZAO JE HIYO NI AKILI AU ......HIVI UNAPOMPA WAKALA KIBALI CHA KUSAMBAZA PEMBEJEO ZA KILIMO AKASAMBAZA FEKI TENA KWA BEI YA JUU MKULIMA ANPOPATA HASARA BILA WAKALA KUWAJIBISHWA HAPO INAKAAJE.JARIBU KUFIKIRI KWA KINA UTAONA MANTIKI NDANI YAKE.HIVI KWANINI USUBIRI BIDHAA FEKI MPAKA ZIFIKE DUKANI NDIPO UTIME TIMU YA KUFANYA UKAGUZI KISHA WACHOME MOTO UMEWAHI KUJIULIZA KWANINI.USITOE JIBU JEPESI KATIKA SWALI GUMU.NINAYO MENGI SANA YANAYOWEZA KUKUFUMBUA MACHO. HEBU Chunguza wanaomiliki viwanda vikubwa niambie vingapi vinamilikiwa na mtanzania halisi.nenda mbali kidogo unamlipa MP na kumuweke V8 Lita 1000 za mafuta.bei ya kiwandani ya V8 m90 kwa kutumia wakala 180M Jiulize kwanini.USHAURI WA BURE USIKUBALI ULE USEMI USEMAO KAMA HUWEZI KUPAMBANA NAO BASI JIUNGE NAO.We unapoanza kuchukua moja mwenzako atakutumi kuchukua elfu moja mpaka ukifka elfu ye atakuwa wapi???? TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom