Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Wewe uwezo wako ni upi,?weka tuone.huo ndio uwezo wako wa kufikiri?
mahakama imeshasema bunge la katiba lipo kisheria.
hata mliosusa ni wachache wakati majority wamebaki bungeni,wakiwemo wabunge wa cuf,cdm.
unapotishia kuandamana nchi nzima tena bila kikomo hapo unatangaza vita.
haya utaadamana then the end itakua nini?,raia watachoka kutembezwa na mtajikuta mmebaki watano si aibu hiyo.
tuseme mwitikio ukia wa mkubwa na maandamano yakahatarisha amani,watu watakamatwa,itatangazwa hali ya hatari na pengine hata uchaguzi ukasogezwa mbele,hasara itakua kwenu na itakula kwenu.