The neglected
Senior Member
- Aug 7, 2014
- 112
- 22
Haka kakenge eti kanaionya polisi. Siasa za bongo ni kituko.
We ndio kituko kwa kumuita binadamu kama wewe "kakenge" pili hujui alichoeleza kwa kifupi umekurupuka
Haka kakenge eti kanaionya polisi. Siasa za bongo ni kituko.
Wao waandamane tu,eti wanaiga arab spiring,wale waarabu walishapinda siku nyingi na licha ya kupinda walikutana na al sisi kumbe nae ameshapinda siku nyingi,akawaua 800 kwasiku moja na tangu hapo kimya.
Nyuma yako huku umejificha nyuma ya TECNO ingia barabarani.kila la kheri Patrobas tupo nyuma ya yako the hope of new BAVICHA
Nyuma yako huku umejificha nyuma ya TECNO ingia barabarani.
Maandamano ndo hayo maradhi menyewe.syria walianza maandamano tukasema chondechonde syria msijaribu mtakuja kulia,leo wanalia.Je nchi yao mpaka sasa iko katika hali gani. Kumbuka amani haiji ila kwa ncha ya upanga,Hivi unafahamu kuwa mficha maradhi kilio kitambumua na kamwe wa mbili havai moja
Hawa makamanda wa kihindi waoga sana kila siku wanasema humu jamvini hakuna dhambi kama uoga sasa wanacholia lia nini si waingie barabarani wakakutane na risasi za moto.wengi ni misikule Design YA MATOLA
Hawa makamanda wa kihindi waoga sana kila siku wanasema humu jamvini hakuna dhambi kama uoga sasa wanacholia lia nini si waingie barabarani wakakutane na risasi za moto.
Nawe pia una matatizo ya uelewa.maandamano ya kupinga bunge la katiba ambalo lipo kihalali unategemea polisi wafanye nini dhiidi ya waandamanaji.kuwapigia mziki wa brassband au mkng'oto.hivi leo wananci wakiamua kuandamana kumtaka msajiliwa vyama afute chadema kwa sasbabu ni nishio la amani watakuwa na haki?
Nyuma yako huku umejificha nyuma ya TECNO ingia barabarani.