Nyie BAVICHA msiponze Watoto wa wenzenu. Tokeni nyie na Watoto, wake, wajomba, wakwe n.k. Mkaandamane mubondwe nyiye na si kuchochea Watoto wa Watu wengine nyie mnajificha. Watanzania hatudanganyiki. Tunaona mataifa mengine yaliyowafika. Siku hizi hata Sisi wa Vijijini tunayaona kwenye TV baada ya kuwezeshwa kupatikana Umeme hata Vijijini kulikowezeshwa na Serikali ya CCM.Mwenyekiti wa baraza la vijana BAVICHA bw PATROBAS KATAMBI akizungumza na wanahabari muda huu hapa katika mkutano wa chadema unaoendelea
-Kufwatia jeshi la polisi Tanzania jana kupiga marufuku maandamano yaliyotangazwa kufanyika na chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA,umoja wa vijana wa chama hicho BAVICHA umeibuka na kusema kamwe hawatishiki na kauli ya jeshi hilo na wapo tayari kwa lolote.
---------
Akizungumza na wanahabari muda huu nje ya mkutano wa kamati kuu ya chama hicho mwenyekiti wa vijana taifa PATROBAS KATAMBI amesema kuwa kauli iliyotolewa na mwenyekiti wao sio kauli yake kwani ni kauli ya chama na wanachama wote hivyo polisi wasihangaike kumkamata mwenyekiti wao na badala yake wajiandae kulinda amani wakati wa maandamano- hayo.
---
tumezoea kusikia kauli za vitisho vya jeshi la polisi wakati chadema inapotaka kufanya kitu cha kuwatetea wananchi wao,ila siku ccm ikitangaza kufanya maandamano ya amani huwezi kusikia kauli kama hizo,sasa tumechoka na mambo hayo na tupo tayari kwa lolote lileamesema mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA
------
Aidha amesema kuwa ofisi yake imeitisha kikao cha dharura kwa ajili ya kupanga mikakati imara ya kuanza maandamano hayo ambapo amesema kuwa yatafanyika nchi nzima bila kikomohuku akisema -yataanza muda wowote kuanzia sasa.
Sogea uone utakavyofundishwa kutii sheria bila shuruti.Kamanda usiogope vitisho vya Watu tunaowalipa mshahara.
Maneno tu kudanganyanaBavicha mwendo ni uleule kuwatindua mafisadi
WE,yaani niache dunia ajili ya kutetea ukoo wa mbowe au slaa wakaishi magogoni,aah wapi?,maisha matamu bana na ukishakwenda umekwenda hakuna kwamba utarudi mbowe akupe hata umesenja wa ikulu.Kama huna kitu unachokiamini kiasi cha kutoa maisha yako kukitetea huna sababu ya kuishi!!
sogea uone utakavyofundishwa kutii sheria bila shuruti.
Nyie BAVICHA msiponze Watoto wa wenzenu. Tokeni nyie na Watoto, wake, wajomba, wakwe n.k. Mkaandamane mubondwe nyiye na si kuchochea Watoto wa Watu wengine nyie mnajificha. Watanzania hatudanganyiki. Tunaona mataifa mengine yaliyowafika. Siku hizi hata Sisi wa Vijijini tunayaona kwenye TV baada ya kuwezeshwa kupatikana Umeme hata Vijijini kulikowezeshwa na Serikali ya CCM.
Maandamano ndo hayo maradhi menyewe.syria walianza maandamano tukasema chondechonde syria msijaribu mtakuja kulia,leo wanalia.
libya vilevile,ncha ya upanga haijasaidia kitu.sasa unadhani wanazuia maandamano kwasababu gani.maandamano yasiyo kikomo tena nchi nzima lengo lake ni kuiangusha serikali,nani atakubali hiyo?
Yaani unasifia ujinga! Maandamano ya nini kama BMK liko kisheria na mwisho wake ni october 4, 2014; kura ya maoni juu ya katiba mpya 2016; maandamano ya nini? wacha wale hizo hela halafu watakutana na wananchi baadaye na watawaadhibu sana hawa maccm.Mwanzo mzuri Patrobas!
WE,yaani niache dunia ajili ya kutetea ukoo wa mbowe au slaa wakaishi magogoni,aah wapi?,maisha matamu bana na ukishakwenda umekwenda hakuna kwamba utarudi mbowe akupe hata umesenja wa ikulu.
Mh..wewe ndo wakuniambia mambo ya syria na libya kweli?..Hufahamu yaliyoko nyuma ya Pazia.Je Libya walioifikisha pale ni Walibya wenyewe? Fuatilia siasa za Syria utajua kinachoendelea.anayeonewa akichoka kuonewa akifanya maamuzi huwa harudi nyuma.Tafuta upeo wa mbali na si kutazama karibu.kama wanajali wananchi nipe sababu kwa nini wamesigina kpengele cha maadili ya viongozi,ukomo wa madaraka kwa wabunge na suala la elimu,kwa haraka utaniambia Katiba inatoa Uhuru,swali Je walioko kule mjengoni wote hawajui haki za wananchi.NIMESHANGAZWA NA HAO MP WANAODAI WALIOKO NJE HAWAWATISHI LAKINI LIKIONGELEWA NJE WALIOKO NDANI WANAJIBU.NINI MAANA YAKE?
Chadema wanaume ,Pamoja sana ikibidi mpaka ikulu.