Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,240
- 9,527
Si wakaandamane kwa Ester Bulaya?Kwani UV-CCM wameandamana kuhusu kikokotoo? Wanaoandamana si wafanyakazi?? Bavicha naona hazimo!!
Uraia wa mtu si uhamiaji wapo?Kwani UV-CCM wameandamana kuhusu kikokotoo? Wanaoandamana si wafanyakazi?? Bavicha naona hazimo!!
UVCCM walikuwa wanampongeza mkuu wa nchi. Hawa wanataka kumpongeza Mbunge wa Jimbo hivyo ni vyema wangeenda jimboni kwake kuandamana na kumpongeza jimboni kwake. Sasa hawa wanaenda kuandamana kwenye jimbo la Rioba wa CCM!Tuone sasa kama watafanya double standard kati ya UVCCM na BAVICHA. Ntashangaa sana wakizuia
Mi nawaunga mkono cdm lakini siungi mkono maandamano ya kipuuzi, kama haya
Rejea hapa....Kwani UV-CCM wameandamana kuhusu kikokotoo? Wanaoandamana si wafanyakazi?? Bavicha naona hazimo!!
Hujajibu bado "bavicha kuandamana ni utoto, ila uvccm kuandamana ni ujanja"naona unaendeleza utoto, ungeniuliza tu namaana gani kusema kna utoto,mie hao bavicha nawajulia humu mitandaoni tu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabangue korosho hamna Jipya.
Wapi nioneshe nlitaja chama chochote mkuu,em stop this childish behaviour bhanaHujajibu bado "bavicha kuandamana ni utoto, ila uvccm kuandamana ni ujanja"
Mbona hawandamani ikuluSi wakaandamane kwa Ester Bulaya?
Azimio la Zanzibar ni kupambana na Hali hiyo 2019nakumbuka walivyotawanywa kwa mabomu kwenye graduation wakati wenzao wa UVCCM wakipeta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapewe kibali kwani OCD hakitaki kibarua chake!
Huu mtego anaenda kunasa Tembo,utashangaa maandamano yanaongozwa na Mnyika,Lema Sugu wanaibukia hukoHahaha yani huo ni mtego hasa.