Wafanyakazi shangilieni kwa nguvu , maana aliyewaokoa sasa kawa Mnadhimu Mkuu wa Upinzani bungeni , tunaamini baada ya kikokotoo sasa atahakikisha haki yenu ya kupandishiwa mshahara mnaipata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.