BAVICHA Mara safari yaiva kuelekea Dodoma

BAVICHA Mara safari yaiva kuelekea Dodoma

Nilipoona neno "siliasi" nikajua hamna kitu hapo. Mara tu wamesahau wenzao waliondamana kwa kutambaa hapo Dodoma wakihimiza kurudishwa kwa jina lililokatwa.
 
Kama namuona vile NAPE kashika kipaza pale ukumbini
 
Mimi naona bora hao BAVICHA waende tu Dodoma ili wakakipate watakachokipata ili siku nyingine wasirudie tena kufanya ujinga kama huo.
Uoga ni dhambi mbaya na kubwa kuliko zote .
 
Hivi kama hakuna mkutano hadi 2020,je uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 hautakuwepo ama utafanyika bila mikusanyiko? Naomba kueleweshwa jamaa.
 
Mwiba hutolewa pale pale ulipo ingilia hongereni vijana wazalendo. Mimi nipo tayari Dodoma hapa Kisasa tayari kwa kazi.
 
Watu watabaki vilema...
Litakuwa janga la taifa kama halitochukuliwa kwa umakini. Ogopa sana watu wakichoka. Mie nawashauri si CHADEMA wala CCM, kwa wote kuridhia uhuru ndani ya katiba ya nchi. Hii itatupeleka vyema huko tunapohitaji. Si kwa jinsi mambo yalivyo sasa... kila chama kinagombea fito ya Tanzania.
 
Hivi kama hakuna mkutano hadi 2020,je uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 hautakuwepo ama utafanyika bila mikusanyiko? Naomba kueleweshwa jamaa.

Mkulu alisema vikao visivyokua na kibali, na kikao cha 23 -07 - 16 kina kibali. Sasa sijui kwa nini watanzania tunajaribu kuvuruga hali ya amani tulionayo!!!.
 
Back
Top Bottom