Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Naomba kujua ajenda ya chadema 2016/17
Nenda ofisi zao. Watakupa.
Naomba kujua ajenda ya chadema 2016/17
Cha nyuma ww mbowe ni mwenyekiti Taifa huu moyo ni bavita Kama hujui ni vijana chedemaKila mchuma Janga hula na nduguye, nendani yakawakute ya kuwakuta wakati Mbowe atakuwa katulia akiwatazama katika tv huku akila bata.
TUTAANZA NA WEWEKaribuni Idodomya mtakapovunjwa viuno vyenu na miguu. Hii si Serikali ya JK ya kunywa chai Ikulu na nyumbu ni Serikali ya kazi. Mtapigwa hadi msalimu amri na tusiwaone mnakimbia hovyo kupora watu mitaani, mtauawa.
Nadhani mujinga in aliyehangaika kupigwa kitu akahifadhi upuuzi tumbini kwa miezi tisa akakuleta duniani kituko cha aina yako
tulia, vijana wanasema lazima wahakikishe kauli ya Mh Rais haikaidiwi. Mikutano yoyote, maandamano yoyote hadi 2020.Karibuni Idodomya mtakapovunjwa viuno vyenu na miguu. Hii si Serikali ya JK ya kunywa chai Ikulu na nyumbu ni Serikali ya kazi. Mtapigwa hadi msalimu amri na tusiwaone mnakimbia hovyo kupora watu mitaani, mtauawa.
Nani kakuambia wanaenda kupigana au kuhatarisha amani?Jamani namwomba Mh Mbowe aingilie kati
Kwa nini viongozi wakuu wasiende kuongea na Mkulu wa nchi ili suluisho pia na amani vikatawala!
Pamoja na matatizo madogo madogo bado nchi yetu INA amani, ni vyema tuendelee kuijenga, kuiimarisha na kuilinda
Tatizo hakuna ni MSAADA tu. Mbona watu wanaogopa kusaidiwaKila mchuma Janga hula na nduguye, nendani yakawakute ya kuwakuta wakati Mbowe atakuwa katulia akiwatazama katika tv huku akila bata.
Utakufa utaziacha siasa zikiendelea,mbaya zaidi wewe ni mshabiki wa siasa usiyoijua hata definition yake.
Yanini mmtukanie mzazi wake? Mara mia ungemtukana yeye kama yeye,kama ninavyokuambia kwamba wewe ni pimbi na punk uliyekubuhu.
Hivi waliopigania Uhuru mpaka unapatikana nchi hii walikuwa raia wote wa Tanzania?Kila mchuma Janga hula na nduguye, nendani yakawakute ya kuwakuta wakati Mbowe atakuwa katulia akiwatazama katika tv huku akila bata.
Jamani namwomba Mh Mbowe aingilie kati
Kwa nini viongozi wakuu wasiende kuongea na Mkulu wa nchi ili suluisho pia na amani vikatawala!
Pamoja na matatizo madogo madogo bado nchi yetu INA amani, ni vyema tuendelee kuijenga, kuiimarisha na kuilinda
mkuu siyo afrika kusini tu hata hapa kwetu tulikuwa na akina mkwawa,kinjekitile ngwale,mango sin,milambo na wengine wengi je waliowaua au kusababisha vifo vyao bado wapo wanaitawala TanzaniaMakaburu waliwapiga hivi hivi, wananchi wa Afrika kusini, yako wapi sasa? Wako tena madarakani?
mkuu vijana wa ccm ni janga LA taifa kama kilivyo chama chaoHuwa nashangaa kuwepo binadamu kama wewe hapa duniani[emoji32] !!
Hivi waliopigania Uhuru mpaka unapatikana nchi hii walikuwa raia wote wa Tanzania?