THE COMMISSIONER
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 267
- 111
- Thread starter
- #41
salaam nyingi sana kwa ben sa8 na lwakatare
Inahusiana vipi na mkutano sasa? Humu vichaa wengi ehe?
salaam nyingi sana kwa ben sa8 na lwakatare
kila mtu anauhuru wa kupost hata mara mia tatizo la bavicha mnahasira.
Vyama vya demokrasia vyoote duniani ni vyama vya kidini na vyama vinavyotetea ushoga dunia nzima,wabaguzi sana wakabila na ht wengine ni viongozi wa mashoga na wasagaji.
Chanzo ni gazeti la the daily issues la hispania
Habari zilizoanza kusambaa duniani jan usiku zinaonyesha kuwa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) watakuwa wenyeji wa mkutano wa bodi ya umoja wa vijana wa vyama vya kidemokrasia Duniani (Internationa Young Democrat Union, IYDU) mwezi July.
Taarifa hizo zinaeleza kuwa hii itakuwa mara ya kwanza kwa umoja huo unaoshirikisha nchi zaidi ya 120 ikiwemo BAVICHA kufanya mkutano wake Kusini mwa Jangwa la Sahara na Tanzania chini ya BAVICHA kuwa kichocheo cha kuleta mkutano huo nchini.
IYDU inahusiasha vijana wa vyama vikubwa duniani kama Republican ya Marekani, Consevrative ya Uingereza, CDU ya Ujerumani, kile Chama cha Sarkozi cha Ufaransa. Nchi nyingine zinazoonekana kwenye umoja huo ni Hispania, Denmark, Uswis, Italy, Austarlia Argentina, Ucraine, Ugiriki n.k na kwa africa zinaonekana Ghana, Kenya, Uganda, Namibia, Msumbiji, Tanzania n.k
Kwa hakika hii ni kazi nzuri ya John Heche kama Mwenyekiti wa BAVICHA na Deogratias Munishi kama Katibu Mkuu wa BAVICHA ambao wamejenga hoja na mazingira ya vijana hawa kuwa hapa Tanzania. Huu ni ufanisi wa hali ya juu kwa siasa za kimataifa zinazofanywa na BAVICHA ukiacha zile za ndani ambapo kwa kwa kiasi kikubwa wamevunja unazi wa vijana wa chama cha kijamaa kutawala ulimwengu wa siasa za Vijana Tanzania.
Welldone BAVICHA, Bravoo CHADEMA kwa kuwa na Vijana Mahiri kama Heche na Munishi.
Source http://www.facebook.com/photo.php?f...16863021.33668.162705093775220&type=1&theater
CHADEMA hakuna kitu wanatumiwa na mabepari kuharibu nchi yetu tuliyoitoa mbali hawa mafisi wanataka ulaji tu.....na kuharibu amani,na kama rasimu ya katiba mpya ikipita hawatapata jimbo hata moja
"KIDUMU CHAMA TAWALA"
Conservative ya Uingereza, c ndiyo wale mashoga? Mnapiga kelele ccm inajaza watu wa out, hv nyie chadema mkichukua si haya majitu yoooote mtayapa mali zetu! Mtabaki kuwa wapinzani hata mngeita dunia yote´Tz.
Ndo za kishoga hata Labour party masahiba wa CCM wanaunga mkono, kwa hiyo kwa akili yako basi hata CCM wanaunga mkono Ushoga. Democarts Marekani waziwazi kupitia Obama kwenyeb kampeni za mwaka jana aliunga mkono ndoa jinsia moja na hawa ni maswahiba wa CCM hivyo basi kwa akili yako mbovu hata CCM wanaunga mkono ushoga. Nyie watoto wa Lumumba mna matatizo ya kufikiri sana!
kwa kuwa mnatumiwa na wajamaa wenzenu kuharibu nch, basi unadhani na wenzako ndivyo wanavyotumiwa. Jana kinana alikuwa anafanya nini na wachina? Acha ushamba wewe!
kweli wewe hujielewi na hiyo chadema yako mtakufa kibudu 2014/2015 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu
Hii inaonyesha ni jinsi gani umoja wa Vijana CHADEMA ulivyo makini tofauti na wenzao UVCCM ambao kutwa nzima ni majungu na kupandikiza udini miongoni mwetu
kweli wewe hujielewi na hiyo chadema yako mtakufa kibudu 2014/2015 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu
Ila wewe mizengo pinda kabisa! hata wakubwa zako wanaujua mziki wa chadema, wanahaha ww unajifarij
CHADEMA hakuna kitu wanatumiwa na mabepari kuharibu nchi yetu tuliyoitoa mbali hawa mafisi wanataka ulaji tu.....na kuharibu amani,na kama rasimu ya katiba mpya ikipita hawatapata jimbo hata moja
"KIDUMU CHAMA TAWALA"
Hii inausiana nini na habari? Tanzania tuna wemndo mrefu sana, sasa wewe tunakukomboa vipi? maana hatuwezi kuingia ndani ya kichwa chako ili kuondoa ujina